Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stand waenda kujipima Mwanza

Timu ya Stand United imeondoka Shinyanga jana kwenda Mwanza, ambako itaweka kambi ya wiki moja kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

150 waenda Mwanza kuliombea amani Taifa

WAISLAMU zaidi ya 150 wanaelekea mkoani Mwanza kwa ajili ya maombi maalumu ya kuombea amani nchi pamoja na dua maalumu ya kuomba Watanzania kuwa na hofu ya Mungu.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima

Viongozi wanaojiona wameshindwa kuleta maendeleo katika maeneo yao wametakiwa kujipima kama wanafaa kuendelea kuongoza na wakijiona hawafanyi lolote waachie ngazi mapema ama wasgombee tena uongozi kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema kujipima serikali za mitaa

Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu, utatoa picha halisi ya uwezo wao wa kushika dola katika Uchaguzi Mkuu 2015.

 

10 years ago

Dewji Blog

Taswa FC kujipima na Baobab Sekondari

taswa fc

Mchezaji wa timu ya soka wa waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC), Martin Peter (jezi ya kijani kulia) akipambana na mmoja wa wachezaji wa timu ya makipa, Ivo Mapunda.

Baobab Staff pic1-1

Kikosi cha Baobab.

Na Mwandishi wetu

TIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC) Ijumaa hii itacheza mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya timu ya wafanyakazi wa shule ya sekondari ya Baobab ya Bagamoyo.

Mchezo huo umepangwa kuanza saa 10.00 jioni kwenye uwanja wa shule ya sekondari ya Baobab na...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kujipima Sauzi

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Jumapili kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya University of Pretoria (Tucks FC) jijini Johannesburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Algeria Novemba 14, mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Stars kujipima na Libya leo

TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars leo itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Libya mjini Kartepe nchini Uturuki. Mchezo huo wa kirafiki ni sehemu ya ratiba ya Stars ambapo kocha wake Charles Mkwasa na benchi lake la ufundi watautumia kukiangalia kikosi chao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam Fc kujipima nguvu na JKT.

Azam FC inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Azam Complex ,mchezo ambao ni wa kujipima nguvu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzungu Simba ataka kujipima

Kocha wa Simba, Zdravok Logarusic amesema anahitaji mechi nyingi za kujipima nguvu kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza, huku akiwashangaa ‘profesheno’ wake watatu kutohudhuria mazoezi bila ya taarifa zozote.

 

9 years ago

Habarileo

Mbeya City kujipima kwa Shooting

TIMU ya Mbeya City inatarajiwa kujipima na Ruvu Shooting Jumapili katika mchezo wa kirafiki utakaochezwa kwenye uwanja wa Mabatini, Mlandizi ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuekelea michuano ya Ligi Kuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani