Taswa FC kujipima na Baobab Sekondari
Mchezaji wa timu ya soka wa waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC), Martin Peter (jezi ya kijani kulia) akipambana na mmoja wa wachezaji wa timu ya makipa, Ivo Mapunda.
Kikosi cha Baobab.
Na Mwandishi wetu
TIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC) Ijumaa hii itacheza mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya timu ya wafanyakazi wa shule ya sekondari ya Baobab ya Bagamoyo.
Mchezo huo umepangwa kuanza saa 10.00 jioni kwenye uwanja wa shule ya sekondari ya Baobab na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aQ3jX8hwxK4/VW8BxbcSbFI/AAAAAAAHbuU/MRGHOnKL5MM/s72-c/Baobab%2BStaff%2Bpic1-1.jpg)
TASWA FC KUJIPIMA NA BAOBAB SEKONDARI JUNI 5 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-aQ3jX8hwxK4/VW8BxbcSbFI/AAAAAAAHbuU/MRGHOnKL5MM/s640/Baobab%2BStaff%2Bpic1-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mdNJu4UUSrQ/VW8BxAf_vCI/AAAAAAAHbuQ/zmgbtfhjpCk/s640/taswa%2Bfc.jpg)
Na Mwandishi wetuTIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC) Ijumaa hii itacheza mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya timu ya wafanyakazi wa shule ya sekondari ya Baobab ya Bagamoyo.
Mchezo huo umepangwa kuanza saa 10.00 jioni kwenye uwanja wa Shule ya sekondari ya Baobab na mgeni...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
10 years ago
MichuziBenki ya Posta yazing’arisha Taswa FC, Taswa Queens
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
TPB SUPPORTS TASWA FC, TASWA QUEENS
![Meneja Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Noves Moses akikabidhi jezi za mpira wa miguu zenye thamani ya sh. 1,800,000/= kwa Mwenyekiti wa TASWA SC Majuto Omary.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0422.jpg)
TANZANIA Sports Writers Association Sports Club (TASWA SC) received sports gears worth Tzs 1,800,000/= from Tanzania Postal Bank (TPB). Chief Manager, Corporate Affairs of the bank Noves Moses said her bank has decided to support the team as a gesture for active recreation activity besides reporting. Noves said...
9 years ago
TheCitizen04 Oct
Senegal produces first wine in shade of iconic baobab
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI TASWA: 27 WAREJESHA FOMU UCHAGUZI TASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo ilikuwa leo Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Waliorejesha kwa nafasi ya ujumbe ni Aron Benedict Mpanduka, Elizabeth Rashid Mayemba, Emmanuel Augustino Muga, Hassan Maulid Bumbuli, Ibrahim Mkomwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima