Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima
Viongozi wanaojiona wameshindwa kuleta maendeleo katika maeneo yao wametakiwa kujipima kama wanafaa kuendelea kuongoza na wakijiona hawafanyi lolote waachie ngazi mapema ama wasgombee tena uongozi kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Viongozi watakiwa kuitisha vikao
VIONGOZI wa vijiji, kata na wilaya, wametakiwa kuitisha vikao vya kisheria kwa wakati, ili kutoa taarifa ya hali ya mambo yanavyoendelea na hivyo kujenga imani na wananchi wanaowaongoza. Ushauri huo...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Viongozi watakiwa kutomlilia Mandela
10 years ago
Habarileo01 Aug
Viongozi wa Afrika watakiwa kushirikiana
VIONGOZI wa nchi za Afrika wametakiwa kudumisha ushirikiano baina ya nchi zao ili wafikie maendeleo na kutoiga tabia ya viongozi wa zamani ya kutothamini ushirikiano, kwa kuwa inadumaza maendeleo, licha ya nchi zao kuwa na uhuru.
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Viongozi watakiwa kutopuuza taasisi za dini
VIONGOZI wa Serikali, wametakiwa kutopuuza mialiko kutoka Taasisi za kidini kwani katika shughuli hizo za kijamii hutumika kufikisha changamoto zao ambazo zinahitaji ufumbuzi. Ombi hilo limetolewa mjini Kibaha juzi, wakati...
9 years ago
Habarileo13 Oct
Viongozi wa dini watakiwa kuwakwepa wanasiasa
VIONGOZI wa dini wametakiwa kuwa wavumilivu na kuacha mabishano na wanasiasa ili kuepusha mvurugano unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha uchaguzi.
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Nakalekwa watakiwa kuchagua viongozi bora
WAKAZI wa Mtaa mpya wa Nakalekwa Kata ya Wazo jijini Dar es Salaam, wametakiwa kuwachagua viongozi bora wa mtaa huo wanaofahamu shida zinazowakabili ikiwemo kubomolewa na kuchomewa moto makazi yao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e_BSt0N2fhg/VS38yR3GjMI/AAAAAAAHRLg/N7cabi7Remg/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
VIONGOZI WA COASTAL UNION WATAKIWA KUSHIKAMANA
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Viongozi CCM watakiwa kusaidia vijana
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora, wametakiwa kutatua changamoto zinazowakabili wanachama wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho (UVCCM) kwa kuwa ni nguzo ya chama. Akizungumza kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...