Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi watakiwa kuitisha vikao

VIONGOZI wa vijiji, kata na wilaya, wametakiwa kuitisha vikao vya kisheria kwa wakati, ili kutoa taarifa ya hali ya mambo yanavyoendelea na hivyo kujenga imani na wananchi wanaowaongoza. Ushauri huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Watumishi watakiwa kuacha ugonjwa wa vikao

WATUMISHI wa umma kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa hadi Serikali Kuu, wametakiwa kuacha ‘ugonjwa’ wa vikao, badala yake wakae ofisini kuwatumikia wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafugaji, hifadhi watakiwa kutumia vikao kumaliza migogoro

Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Mahmoud Kambona amewataka wafugaji wa Kata ya Loiborsiret wanaoishi kando ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero, kutumia mazungumzo na vikao ili kumaliza mgogoro wa mpaka badala kutumia nguvu.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa Afrika watakiwa kushirikiana

VIONGOZI wa nchi za Afrika wametakiwa kudumisha ushirikiano baina ya nchi zao ili wafikie maendeleo na kutoiga tabia ya viongozi wa zamani ya kutothamini ushirikiano, kwa kuwa inadumaza maendeleo, licha ya nchi zao kuwa na uhuru.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi watakiwa kutomlilia Mandela

Wasomi wanasema njia pekee ya kumuenzi Nelson Mandela ni kutekeleza yote aliyoyafanya kwa vitendo, siyo kuomboleza kwa kulia.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima

Viongozi wanaojiona wameshindwa kuleta maendeleo katika maeneo yao wametakiwa kujipima kama wanafaa kuendelea kuongoza na wakijiona hawafanyi lolote waachie ngazi mapema ama wasgombee tena uongozi kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA COASTAL UNION WATAKIWA KUSHIKAMANA

VIONGOZI wa Klabu ya Coastal Union wamewatakiwa kushikamana vilivyo ili kuweza kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika michezo yao iliyosalia katika Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania Bara.  Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Magalula Saidi wakati alipokutana na viongozi wa timu hiyo ofisini kwa lengo la kufahamiana ambapo Makamu Mwenyekiti wa Coastal Union, Steven Mguto aliwaongozwa viongozi wengine kwenye kikao hicho. Alisema kuwa muda uliobakia kwenye mechi za Ligi kuu sio...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi CCM watakiwa kusaidia vijana

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora, wametakiwa kutatua changamoto zinazowakabili wanachama wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho (UVCCM) kwa kuwa ni nguzo ya chama. Akizungumza kwenye...

 

9 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kuwakwepa wanasiasa

VIONGOZI wa dini wametakiwa kuwa wavumilivu na kuacha mabishano na wanasiasa ili kuepusha mvurugano unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha uchaguzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani