Simba kunoa kucha ‘Sauzi’
TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Oct
Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo
11 years ago
Habarileo01 Aug
Akutwa na meno 65, kucha 447 za simba
RAIA wa Vietnam, Dong Van (47) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na meno 65 na kucha 447 za simba zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 189.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mvietnamu akamatwa na meno 65, kucha 447 za simba Dar
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.
Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...
11 years ago
Vijimambo13 Oct
Simba yateketeza milioni 150/- Sauzi

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kambi hiyo ya siku 10 imelenga kukiimarisha kikosi cha timu hiyo ili kiweze kufanya vizuri katika mechi dhidi ya Yanga na...
11 years ago
Mwananchi08 Oct
Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi
11 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
10 years ago
Habarileo17 Nov
UDA kunoa madereva, makondakta
KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Julio: Natamani kunoa vijana
ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema mawazo yake kwa sasa ni kufundisha soka la vijana au timu ya nje ya Tanzania. Julio, baada ya mzunguko wa kwanza...