Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kunoa kucha ‘Sauzi’

TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo

Simba inashuka uwanjani kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini ukiwa ni mchezo wa maandalizi ya mechi yao dhidi ya Yanga inayatarajiwa kufanyika Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Akutwa na meno 65, kucha 447 za simba

RAIA wa Vietnam, Dong Van (47) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na meno 65 na kucha 447 za simba zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 189.

 

11 years ago

Mwananchi

Mvietnamu akamatwa na meno 65, kucha 447 za simba Dar

>Raia wa Vietnam, Dong Van (47) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na meno 65 na kucha 447 za simba zenye thamani ya Sh189.4 milioni.

 

11 years ago

CloudsFM

RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA

Jeshi la Polisi linamshikilia Raia wa Vietnam Dong Van(47) kwa kumkamata akiwa na meno 65 na kucha 447 za Simba kinyume cha sheria vyenye thamani ya Shilingi Milioni 189,420,000.
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.

Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...

 

11 years ago

Vijimambo

Simba yateketeza milioni 150/- Sauzi

Wakati timu ya soka ya Simba leo itacheza mechi ya kirafiki ya pili ya kimataifa dhidi ya Bidvest Wits United ya Afrika Kusini kwa ajili ya kujiandaa kuivaa Yanga Oktoba 18, klabu hiyo inatarajia kutumia kiasi cha Sh. milioni 150 kugharamia kambi ya timu hiyo iliyoko jijini Johannesburg, imefahamika.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kambi hiyo ya siku 10 imelenga kukiimarisha kikosi cha timu hiyo ili kiweze kufanya vizuri katika mechi dhidi ya Yanga na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi

Kiungo mshambuliaji Raphael Kiongera na kipa Ivo Mapunda wameachwa kwenye kikosi cha Simba kinachoondoka leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya muda kujiandaa na mechi yao dhidi ya watani, Yanga, Oktoba 18.

 

11 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

10 years ago

Habarileo

UDA kunoa madereva, makondakta

KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Julio: Natamani kunoa vijana

ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema mawazo yake kwa sasa ni kufundisha soka la vijana au timu ya nje ya Tanzania. Julio, baada ya mzunguko wa kwanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani