Mvietnamu akamatwa na meno 65, kucha 447 za simba Dar
>Raia wa Vietnam, Dong Van (47) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na meno 65 na kucha 447 za simba zenye thamani ya Sh189.4 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Aug
Akutwa na meno 65, kucha 447 za simba
RAIA wa Vietnam, Dong Van (47) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na meno 65 na kucha 447 za simba zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 189.
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.
Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Mkazi wa Dar Es Salaam akamatwa na Jeshi la Polisi Mbeya akiwa na meno ya Tembo kilo 8.5
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia Lukas Wambura (38) Mkazi wa Banana – Dar es salaam mwenye shahada ya dharura ya kusafiria ab-10044029 akiwa na vipande vinne vya meno yadhaniwayo kuwa ya tembo vyenye uzito wa kilo 8.4 yenye thamani ya dola za kimarekani 30,000, sawa na tshs 64,140,000/=.
Tukio hilo limetokea Novemba 30 -2015 majira ya saa12 jioni katika eneo la custom – mpakani tunduma, , wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Mvietnam alikamatwa na kucha, meno ya chui pia
9 years ago
Habarileo28 Aug
Mchina kortini Dar akidaiwa kukutwa na meno ya simba
RAIA wa China, Jianfeng Wu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na meno ya simba yenye thamani ya Sh milioni 10.1.
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Akamatwa na vipande 21 vya meno ya tembo
JESHI la Polisi limemkamata mtu mmoja mkazi wa Mwamagembe, Itigi wilayani Manyoni, Singida, George James (30) na vipande 21 vya meno ya tembo akiwa njiani kuvisafirisha. Kamanda wa Polisi mkoani humo (SACP)...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Simba kunoa kucha ‘Sauzi’
TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78215000/jpg/_78215521_024316575-1.jpg)
Ebola death toll 'rises to 4,447'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO