Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvietnamu akamatwa na meno 65, kucha 447 za simba Dar

>Raia wa Vietnam, Dong Van (47) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na meno 65 na kucha 447 za simba zenye thamani ya Sh189.4 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Akutwa na meno 65, kucha 447 za simba

RAIA wa Vietnam, Dong Van (47) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na meno 65 na kucha 447 za simba zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 189.

 

11 years ago

CloudsFM

RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA

Jeshi la Polisi linamshikilia Raia wa Vietnam Dong Van(47) kwa kumkamata akiwa na meno 65 na kucha 447 za Simba kinyume cha sheria vyenye thamani ya Shilingi Milioni 189,420,000.
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.

Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkazi wa Dar Es Salaam akamatwa na Jeshi la Polisi Mbeya akiwa na meno ya Tembo kilo 8.5

MSANGI NYARAKA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.

Na Emanuel Madafa, Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya  linamshikilia Lukas Wambura (38)  Mkazi wa Banana – Dar es salaam  mwenye shahada ya dharura ya kusafiria ab-10044029  akiwa na  vipande vinne vya meno yadhaniwayo kuwa ya tembo vyenye uzito wa kilo 8.4 yenye thamani ya dola za kimarekani 30,000, sawa na tshs 64,140,000/=.

Tukio hilo limetokea Novemba  30 -2015 majira ya saa12 jioni  katika eneo la custom – mpakani tunduma, , wilaya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvietnam alikamatwa na kucha, meno ya chui pia

>Imebainika kwamba raia wa Vietnam, Lyvan Dong Varn (47), aliyeripotiwa kukamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na meno na kucha za simba, pia alikuwa na viungo kama hivyo vya chui.

 

9 years ago

Habarileo

Mchina kortini Dar akidaiwa kukutwa na meno ya simba

RAIA wa China, Jianfeng Wu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na meno ya simba yenye thamani ya Sh milioni 10.1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Akamatwa na vipande 21 vya meno ya tembo

JESHI la Polisi limemkamata mtu mmoja  mkazi wa Mwamagembe, Itigi wilayani Manyoni, Singida, George James (30)  na vipande 21 vya meno  ya tembo akiwa njiani kuvisafirisha. Kamanda wa Polisi mkoani humo (SACP)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba kunoa kucha ‘Sauzi’

TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...

 

10 years ago

BBC

Ebola death toll 'rises to 4,447'

The death toll from the Ebola virus outbreak has risen to 4,447, mainly in West Africa, the World Health Organization estimates.

 

11 years ago

GPL

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani