Julio: Natamani kunoa vijana
ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema mawazo yake kwa sasa ni kufundisha soka la vijana au timu ya nje ya Tanzania. Julio, baada ya mzunguko wa kwanza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Simba kunoa kucha ‘Sauzi’
TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...
10 years ago
Habarileo17 Nov
UDA kunoa madereva, makondakta
KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Barcelona kunoa makocha Karume leo
MAKOCHA wa timu ya FC Barcelona ya Hispania, wamewasili nchini kutoa mafunzo ya mbinu za soka kwa makocha wa Tanzania. Ujio wa makocha hao wanaoshirikiana na bia ya Castle Lager,...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Yanga kunoa makali Kombe la Mapinduzi
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga tayari imewasili Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi itakayoanza kesho huku wakitamba kutwaa ubingwa na kusaka makali kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Katika mashindano ya Mapinduzi, Yanga imepangwa kundi B ikiwa na Azam, Mtibwa Sugar na Mafunzo ya Zanzibar ambapo inatarajia kufungua dimba kesho kwa kuvaana na Mafunzo.
Kikosi hicho kinachonolewa na kocha Hans Vans Pluijm na msaidizi wake, Juma Mwambusi,...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Barcelona kunoa makocha Ligi Kuu
MAKOCHA wa FC Barcelona ya Hispania, wanatarajia kuendesha mafunzo kwa makocha wa hapa nchini yatakayonyika Agosti 1 na 2, katika Uwanja wa Karume, jijini Dar es Salaam kuboresha kiwango cha...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Shule ya michezo ya Kikwete kuanza kunoa vipaji Jumatatu
SHULE ya Michezo ya Jakaya Kikwete iliyopo Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja katikati ya Jiji ya Dar es Salaam, Jumatatu ijayo itaanza kutoa mafunzo ya kukuza vipaji vya michezo kwa vijana.
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQNCR-LU*GTn-k4H77xldZT6XMd-3O07msFcuxpuYbeUV2PIhZh8AS0IDGl*KcR55G6od38qFPedcmsRH1HuLh5N/kajala.jpg?width=650)
KAJALA: NATAMANI KUPATANA NA WEMA
10 years ago
Bongo Movies02 Aug
Davina: Kuna Wakati Natamani…
“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake.
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema kila mahali anapopita ananyooshewa vidole kwa watu...