Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo
Simba inashuka uwanjani kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini ukiwa ni mchezo wa maandalizi ya mechi yao dhidi ya Yanga inayatarajiwa kufanyika Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Simba kunoa kucha ‘Sauzi’
TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...
11 years ago
BBC
Orlando Pirates appoint Vermezovic
10 years ago
TheCitizen21 Aug
Five teens secure Orlando Pirates deal
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Yanga kunoa makali Kombe la Mapinduzi
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga tayari imewasili Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi itakayoanza kesho huku wakitamba kutwaa ubingwa na kusaka makali kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Katika mashindano ya Mapinduzi, Yanga imepangwa kundi B ikiwa na Azam, Mtibwa Sugar na Mafunzo ya Zanzibar ambapo inatarajia kufungua dimba kesho kwa kuvaana na Mafunzo.
Kikosi hicho kinachonolewa na kocha Hans Vans Pluijm na msaidizi wake, Juma Mwambusi,...
10 years ago
TheCitizen04 Nov
Stars set to play Orlando Pirates, Bafana Bafana
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Barcelona kunoa makocha Karume leo
MAKOCHA wa timu ya FC Barcelona ya Hispania, wamewasili nchini kutoa mafunzo ya mbinu za soka kwa makocha wa Tanzania. Ujio wa makocha hao wanaoshirikiana na bia ya Castle Lager,...
11 years ago
Vijimambo13 Oct
Simba yateketeza milioni 150/- Sauzi

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kambi hiyo ya siku 10 imelenga kukiimarisha kikosi cha timu hiyo ili kiweze kufanya vizuri katika mechi dhidi ya Yanga na...
11 years ago
Mwananchi08 Oct
Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi