Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo

Simba inashuka uwanjani kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini ukiwa ni mchezo wa maandalizi ya mechi yao dhidi ya Yanga inayatarajiwa kufanyika Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Simba kunoa kucha ‘Sauzi’

TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...

 

11 years ago

BBC

Orlando Pirates appoint Vermezovic

Serbian Vladimir Vermezovic is appointed Orlando Pirates coach, two years after quitting South African rivals Kaizer Chiefs.

 

10 years ago

TheCitizen

Five teens secure Orlando Pirates deal

The TFF says it is a strategy to build team for the 2017 youth finals

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga kunoa makali Kombe la Mapinduzi

Kikosi-Yanga NA ZAINAB IDDY,  DAR ES SALAAM

TIMU ya Yanga tayari imewasili Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi itakayoanza kesho huku wakitamba kutwaa ubingwa na kusaka makali kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.

Katika mashindano ya Mapinduzi, Yanga imepangwa kundi B ikiwa na Azam, Mtibwa Sugar na Mafunzo ya Zanzibar ambapo inatarajia kufungua dimba kesho kwa kuvaana na Mafunzo.

Kikosi hicho kinachonolewa na kocha Hans Vans Pluijm na msaidizi wake, Juma Mwambusi,...

 

10 years ago

TheCitizen

Stars set to play Orlando Pirates, Bafana Bafana

National soccer team, Taifa Stars, will play an international friendly match against Orlando Pirates on Sunday, Tanzania Football Federation (TFF) has revealed.

 

10 years ago

Dewji Blog

Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!

SIMBaaaaaKikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.

Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barcelona kunoa makocha Karume leo

MAKOCHA wa timu ya FC Barcelona ya Hispania, wamewasili nchini kutoa mafunzo ya mbinu za soka kwa makocha wa Tanzania. Ujio wa makocha hao wanaoshirikiana na bia ya Castle Lager,...

 

11 years ago

Vijimambo

Simba yateketeza milioni 150/- Sauzi

Wakati timu ya soka ya Simba leo itacheza mechi ya kirafiki ya pili ya kimataifa dhidi ya Bidvest Wits United ya Afrika Kusini kwa ajili ya kujiandaa kuivaa Yanga Oktoba 18, klabu hiyo inatarajia kutumia kiasi cha Sh. milioni 150 kugharamia kambi ya timu hiyo iliyoko jijini Johannesburg, imefahamika.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kambi hiyo ya siku 10 imelenga kukiimarisha kikosi cha timu hiyo ili kiweze kufanya vizuri katika mechi dhidi ya Yanga na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi

Kiungo mshambuliaji Raphael Kiongera na kipa Ivo Mapunda wameachwa kwenye kikosi cha Simba kinachoondoka leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya muda kujiandaa na mechi yao dhidi ya watani, Yanga, Oktoba 18.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani