Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UDA kunoa madereva, makondakta

KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona

ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Uda kuwachunguza madereva, makondakta wake

Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), limezindua wiki ya huduma kwa wateja yenye kaulimbiu ya ‘Safiri Salama’, lengo kuu likiwa ni kuchunguza na kubaini uhusiano uliopo kati ya abiria na makondakta wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta UDA wapigwa msasa

WAKAZI wa Dar es Salaam, wataanza kupata huduma zilizoboreshwa watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) baada ya madereva na makondakta kupatiwa mafunzo ya mwezi mmoja....

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA kuanzisha chuo cha madereva, makondakta

SEKTA ya usafirishaji nchini inatarajiwa kuingia katika mfumo mpya wa kisasa ambako madereva, makondakta pamoja na wahudumu wengine katika sekta hiyo kusomea fani hizo kabla ya kuingia katika ajira rasmi...

 

10 years ago

Michuzi

UDA yawanoa madereva, makondakta kuleta ufanisi

Fundi wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) akifanyia marekebisho moja ya mabasi ya shirika hilo.  
Wakazi wa Dar es Salaam wataanza kupokea huduma zilizoboreshwa zaidi kila watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hii inatokana na mafunzo ya mwezi mmoja yanayotolewa na shirika kwa madereva, makondakta pamoja na wafanyakazi wengine wa shirika hilo.
Akizungumza wakati wa ziara fupi ya waandishi wa habari katika makao makuu ya UDA jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala

Wakati jana Taifa lilishuhudia mgomo wa madereva wanaodai mambo mbalimbali ikiwamo mikataba ya ajira na mshahara wa Sh250,000 kwa mwezi na kupinga kwenda kwa mara nyingine katika shule ya udereva, imebainika kuwa wengi wao hasa wa daladala, huingiza kati ya Sh900,000 hadi Sh1,050,000 kwa mwezi.

 

11 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO

 Mkaguzi kutoka Sumatra akiongea na Vyombo vya habari na madereva na makondakta  Kamanda wa Polisi kinondoni akitoa mrejesho kwa waandishi wa habari baada ya kuweza kukubaliana na Madereva na Makondakta kutumia barabara kuu kwa siku mbili ili wakati wakiendelea kushughulikia utaratibu wa kutengenezwa kwa barabara za ndani ambazo walikuwa wanapaswa kuzitumia
 Abiria wanaotumia njia ya makumbusho kuelekea Mwenge wakitokea Tandika na Mbagala jijini Dar es salaam leo wameonja Joto ya jiwe...

 

10 years ago

Habarileo

Madereva UDA wagoma

MGOMO uliokuwa umeanza leo wa madereva wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) umezimwa baada ya uongozi wa shirika hilo kukubali kushughulikia malalamiko ya madereva hao.

 

10 years ago

Habarileo

UDA yatimua madereva 42

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limewafukuza kazi madereva wake 42 kwa makosa mbalimbali, yakiwemo utovu wa nidhamu. Makosa mengine yaliyosababisha wafukuzwe kazi ni, kuvunja sheria za barabarani kwa makusudi, kukatisha njia kinyume cha taratibu na kutoza nauli zisizo rasmi tofauti na zilizopo kwenye tiketi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani