Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WABONGO WANASWA WAKIFANYA UFUSKA!

Stori: Shakoor Jongo
ILE Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, safari hii iko kimataifa zaidi ambapo wiki iliyopita ilitua huko Hong Kong, China na kunasa ufuska wa wanawake wa Kibongo wanaokwenda nchini humo kwa kigezo cha biashara kumbe wanakwenda kuuza miili. Baadhi ya mastaa wa Bongo wakikata mauno nchini China. OFM ilipata taarifa kutoka kwa chanzo chake ndipo ikatuma kachero wake nchini humo na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UFUSKA: VIDEO QUEEN MAARUFU BONGO, MCHEKESHAJI WAJIREKODI WAKIFANYA NGONO!

Musa Mateja/Ijumaa Wikienda Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Stan Bakora wamepiga picha za ngono kisha kusambaa hadi kulifikia deski la Ijumaa Wikienda. Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Stan Bakora wakijiachia. Picha hizo chafu...

 

10 years ago

GPL

WASANII WANASWA KWA UFUSKA

Brighton Masalu SHABAASH! ‘Makinda’ wawili wanao penyapenya katika sanaa ya maigizo runingani wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre Arts Group, Sefu Ngao ‘Stefano’ na Vanessa Msofe wamenaswa wakifanya uchafu kwa kuoneshana mahaba mazito huku wakiwa ‘bwii’, Ijumaa Wikienda linakupa ishu nzima. Wasanii hao wakiwa katika mahaba mazito baada kulewa. Tukio la uchafu huo unaotia kichefuchefu cha...

 

10 years ago

GPL

WANASWA WAKIFANYA MAPENZI KITUO CHA POLISI

Stori: Issa Mnally na Deogratius Mongela/Ijumaa
AMA kweli binadamu siyo waoga! Watu wawili ambao majina yao hayakupatikana mara moja, waliamua kujitoa fahamu na kuamua kufanya mapenzi ndani ya gari nje ya Kituo cha Polisi cha Alimaua kilichopo Kata ya Kijitonyama jijini Dar, OFM wanakumegea mkanda mzima. Watu hao wakiendelea kufanya mambo yao. Tukio hilo la aina yake lilinaswa saa nane usiku wa Jumatano wakati kikosi kazi cha...

 

11 years ago

GPL

UFUSKA!

Stori: Waandishi Wetu
AMA kweli ufuska ni janga la kitaifa! Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, imeshafumua matukio mengi yasiyofaa kwenye jamii lakini hili la waliobambwa ‘wakiduu’ jikoni, limetia fora, Ijumaa Wikienda lina kisa cha ajabu. Tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Mwenge jijini Dar ambapo binti aliyejitambulisha kwa jina moja la Aisha alinaswa usiku wa manane akifanya...

 

11 years ago

GPL

UFUSKA LOKESHENI

STORI: ERICK EVARIST
BAADHI ya wasanii wa filamu za Kibongo hivi karibuni walinaswa wakifanya vitendo vichafu katika eneo lao la kurekodia ‘location’ pande za Oysterbay jijini Dar, Ijumaa lina uthibitisho wa kutosha. Wasanii wa filamu wakipozi kwa picha tata. Kwa mujibu wa chanzo chetu wasanii hao walinaswa wakifanya vitendo hivyo vilivyo nje ya maadili ya Mtanzania kwa uwazi bila ya kumuogopa mtu yeyote.
...

 

11 years ago

GPL

UFUSKA WA MASTAA BONGO

Stori: Shakoor Jongo na Musa Mateja NI laana! Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili. Baadhi ya mastaa wakionyeshana ufundi wa kucheza. Tukio hilo lilijiri kwenye Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo maeneo ya Victoria, Dar wikiendi iliyopita ambapo kulikuwa na Kibao Kata cha mtoto wa mjini, Rose Alphonce Nungu ‘Muna Love’.… ...

 

11 years ago

GPL

UFUSKA KWENYE MALORI

Stori:  Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
KILE kikosi maarufu kilichojizolea sifa kwa utenda kazi wake cha Operesheni Fichua Maovu (OFM) kilicho ndani ya jumba la Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers jijini Dar kinazidi kufichua uovu, twende pamoja ili kujua. Mwishoni  mwa wiki iliyopita, OFM ilitua ‘Mji Kasoro Bahari’ (Morogoro) ambapo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Morogoro, kazi kubwa...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND AFANYA PATI YA UFUSKA!

Diamond Platnumz akimmwagia manoti Halima Kimwana. Stori: Hamida Hassan na Musa Mateja
KUFURU ya kufunga mwaka! Dogo anayejua kuzitumia vyema fursa muhimu, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefanya yake kwa mara nyingine, safari hii amefanya pati iliyojaa ufuska, Ijumaa linaibumburua. …

 

10 years ago

GPL

MADAHA, ISABELA WAFANYA UFUSKA!

Stori: Imelda Mtema HAMNAZO? Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha  wamenaswa wakifanya vitendo vichafu maeneo ya Tabata jijini Dar baada ya kupiga masanga ya kutosha mwilini. Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wakijiachia. Kwa mujibu wa chanzo, Baby na Bella walifika maeneo hayo juzikati wakiwa wazima kabisa lakini baada ya kufakamia pombe kwa kasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani