Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira alia na wanaoeneza uongo

 Stephen WassiraMJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wassira ametaka Watanzania kutokubali kudanganywa na watu wanaopita kwenye maeneo yao wakieneza uongo kwamba Serikali haijafanya maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CCM HAITARUHUSU WANUNUA URAIS 2015 WAPAMBE WAO WANAOENEZA TAARIFA ZA UONGO KUADHIBIWA

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Ndg, Nape Mnauye, akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanziba.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi katika ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar juu ya ratiba ya mchakato wa kupata wagombea ndani ya chama katika uchaguzi ujao na kikao cha kamati ndogo ya maadili ya CCM iliyofanya kikao chake jana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, uongo ni fani?

Uchuku au uongo ama urongo ni hali na tabia ya kutosema kweli; tabia ya kudanganya na hata kutokuwa muwazi. Yupo mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema: ‘...lying is an art’ akimaanisha ya kwamba ‘tabia ya kusema uongo ni kipaji’ ama ni sanaa ya aina ya kificho na kipekee pia. Kipaji ni uwezo fulani alionao mtu unaomwezesha kulifanya jambo vizuri ni kipawa.

 

10 years ago

GPL

SIFA YA WABONGO UONGO!

Wabongo bwana hahahahahahaha Wabongo kiboko. Kwa wale ambao wanasoma hii ishu na hawajawahi kuja Bongo nawataarifu kuwa mnapohangaika kutafuta viza za kuwaruhusu kuja Bongo, mjitayarishe kabisa kuwa  Wabongo ni binadamu wa aina nyingine kabisa hapa duniani. Wana sifa mbili kubwa, kwanza wanapenda sana kudanganywa na pili asilimia kubwa ni waongo wa kutupwa, siyo kwamba walizaliwa hivyo, hapana lakini wanalelewa na kutengenezwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Uongo, uzandiki na takwimu

JE, tuziamini tafiti zenye kutegemea takwimu kutabiri nani atashinda, na kwa kiwango gani, katika

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Uongo wahatarisha biashara Dodoma

Soko lililokuwa likitegemewa sana na wakulima wa Dodoma, la mbegu na mafuta katika nchi za India na China limeingia dosari baada ya baadhi ya wafanyabiashara na wasindikaji wa mafuta nchini kuchanganya michanga katika bidhaa hizo.

 

11 years ago

Habarileo

'Wanaosambaza uongo ni watoto wa shetani'

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Paul Makonda ametumia maandiko matakatifu kuwaita baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni watoto wa shetani, akiwataka wananchi kutowaunga mkono katika mikakati yao ya kile alichodai kutumia uongo kuzuia mchakato wa Katiba mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uongo, unafiki na uzandiki wa CCM

INASIKITISHA kuona kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamekuwa mstari wa mbele kuwadanganya wananchi kwamba uendeshaji wa serikali tatu ni ghali kuliko serikali mbili,...

 

11 years ago

GPL

SOMETIMES UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!

KILA kukicha kunaibuka mambo mapya. Katika ulimwengu wa mapenzi kila siku lazima uwe mwanafunzi ili uweze kuboresha uhusiano wako. Ukiacha ubongo wako uingize vitu vipya ni rahisi kubadilika na kuwa wa kisasa zaidi. Somo la leo linashangaza kidogo lakini ni vizuri kama tukijifunza. Tumezoea kusikia kuwa uongo ni kitu kibaya katika maisha ya mwanadamu – ni kweli. Uongo si mzuri lakini katika uhusiano na mapenzi, wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani