Wassira alia na wanaoeneza uongo
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wassira ametaka Watanzania kutokubali kudanganywa na watu wanaopita kwenye maeneo yao wakieneza uongo kwamba Serikali haijafanya maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCCM HAITARUHUSU WANUNUA URAIS 2015 WAPAMBE WAO WANAOENEZA TAARIFA ZA UONGO KUADHIBIWA
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.
Tahariri ya leo Machi 10, Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.
Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Je, uongo ni fani?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExk9LHvePuC-8bnJhWD69-0DD*i3sDQCcrX6Ix*rJkz41rkP-G80NWDbIgBJhoA1ruzt2RGszKKBzFbpveonlWC/CHEKANAKITIME.jpg)
SIFA YA WABONGO UONGO!
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Uongo, uzandiki na takwimu
JE, tuziamini tafiti zenye kutegemea takwimu kutabiri nani atashinda, na kwa kiwango gani, katika
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Uongo wahatarisha biashara Dodoma
11 years ago
Habarileo23 Apr
'Wanaosambaza uongo ni watoto wa shetani'
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Paul Makonda ametumia maandiko matakatifu kuwaita baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni watoto wa shetani, akiwataka wananchi kutowaunga mkono katika mikakati yao ya kile alichodai kutumia uongo kuzuia mchakato wa Katiba mpya.
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Uongo, unafiki na uzandiki wa CCM
INASIKITISHA kuona kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamekuwa mstari wa mbele kuwadanganya wananchi kwamba uendeshaji wa serikali tatu ni ghali kuliko serikali mbili,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC0XWcyAafi1TkWn7W4dmyjIX0ojGCPuCHQTKZqjK1AzKmnKXgRAPRTA6udIkle9la3cHFPZDTitXobQmuYtqpb7/MAHABA.jpg)
SOMETIMES UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!