Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS KIKWETE AKIONGELEA WANAOWASEMA VIBAYA KARUME NA NYERERE

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongelea wanaowasema vibaya waasisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Abeid Aman Karume na Julius Kambarage Nyerere wakati wa mahojiano na vyombo mbalimbali vya habari Ikulu jijini Dar es salaam Aprili 15, 2014. (Video na…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Rais Dkt. Magufuli amerudisha enzi za hayati Karume na Nyerere – Mzee Kundiheri

Untitled

Majaaliwa ya Zanzibar yako mikononi mwa Rais Magufuli Namwomba anitafutie Zanzibar ilikojichimbia naimani huyu ataniletea Zanzibar mpya huyu hyuu aliibusu picha kwa furaha Mzee Kundi Kheri. Tazama video hii hapa chini.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya marehemu John Nyerere nyumbani kwao Msasani jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aomboleza kifo cha John Nyerere

jon

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salama za rambirambi kwa mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, Bw. John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9,2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam

Pamoja na salamu hizi, Rais Kikwete ambaye yuko nchini Alrgeria kwa ziara ya kikazi, amefanya mawasiliano binafsi na Mama Maria na kumpa pole kwa kuondokewa na kijana wake.

“Hakuna mzazi anayependa kuondokewa na mwanae, ni kitu kigumu sana  kwa mzazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huku ni kuwaenzi Nyerere na Karume?

WAASISI wa taifa letu, hayati Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, wamelifanyia taifa hili mambo mengi yasiyo na mfano. Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi… Amina....

 

11 years ago

Mwananchi

Leticia: Nyerere, Karume wasiguswe

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Leticia Nyerere juzi aliwaangukia wajumbe wenzake na kuwaomba wapitishe kanuni inayozuia majina ya waasisi wa Muungano wa Tanzania kutumika kwa dhihaka.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete atoka wodini, familia ya Nyerere yatuma salamu

Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani