Sketi fupi zawaponza wanawake Morocco
Wanawake wawili raia wa Morocco waliofikishwa mahakama, kwa kosa la kuvaa sketi fupi,hatimaye wameachiliwa huru.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Waliovalia sketi fupi waachiliwa huru Morocco
Mahakama huko Morocco imewaondolea lawama wanawake 2 waliokuwa wameshtakiwa kwa kuvaa mavazi yasio na heshima mbele ya umma.
11 years ago
Habarileo30 Apr
Sketi fupi yamtia matatani polisi
OFISA wa Polisi mwanamke nchini Kenya, Linda Okello amepewa onyo kali kwa kuvaa sketi, iliyokuwa imembana, kiasi cha kuonesha umbo lake.
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Sketi fupi yamtia Polisi matatani
Koplo wa polisi aliyezua mjadala kutokana na sketi iliyombana makalio amekwenda Kortini kuzuia asiadhibiwe
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Saa za gharama zawaponza maafisa FIFA
Shirikisho la soka duniani FIFA, limewaambia viongozi wanaounda kamati ya utendaji na viongozi wengine wa juu wa shirikisho hilo kurejesha saa zipatazo 65 za gharama.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Sketi yamtia mashakani polisi Kenya
Afisaa mmoja wa polisi mwanamke amepewa onyo kali kwa kuvalia sketi iliyokuwa imembana kiasi cha kuonyesha umbo lake.
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Akatazwa shule kwa kuvaa sketi ndefu
Msichana mmoja muislamu amekatazwa kuingia darasani huko shuleni kwao Ufaransa kwa sababu alikuwa amevalia sketi ndefu.
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
'Vipimo vya sketi kigezo cha Saratani'
Watafiti wanasema vipimo vya sketi ya mwanamke vinaweza kumsaidia kujua ikiwa yuko katika hatari ya kupatwa Saratani ya Matiti
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania