Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa barabarani yamtia kichefuchefu JK

Rais Jakaya Kikwete amekiagiza Kikosi cha Usalama Barabarani kufanya mabadiliko ya teknolojia katika utendaji wake ili kuondoa mianya ya rushwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa

Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.

Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi wa usalama barabarani aachwa mdomo wazi baada ya mwizi kumuibia fedha za rushwa Kenya

Kwa mujibu wa habari zilizochapishwa kwenye mtandao wa gazeti la Nation, mwizi huyo alizuka gahfla kutoka msituni, akanyakua kifurushi kilichokuwa na pesa kando mwa barabara na kisha kuchanja mbuga kwa kasi!

 

11 years ago

Mwananchi

Ubadhirifu nchini, unatia kichefuchefu

Rushwa na ubadhirifu ni uozo ulioota mizizi nchini. Hali hizi hazikuwa maarufu wakati ambapo kweli Tanzania ilikuwa ikifuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea kwa sababu, siasa hiyo haikuruhusu ubinafsi.

 

11 years ago

Mwananchi

Siri nzito; Kichefuchefu, kutapika wakati wa ujauzito

>Katika hili hakuna mpaka kwamba wanawake wengi duniani huumwa wakati wa ujauzito.Maradhi yao kwa lugha ya kitaalamu huitwa, maradhi ya asubuhi au kwa lugha ya Kiingereza ‘morning sickness’.

 

11 years ago

GPL

AIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU‏

Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia) akisisitiza juu ya umuhimu wa wananchi kujikinga na ajali za barabarani kwenye msimu huu wa sikukuu leo wakati wa kikao na waandishi wa habari kilichofanyika makao makuu ya Airtel jijini Dar es salaam.  Katikati ni Katibu Mtendaji wa Baraza na Kamanda mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani cha Tanzania, DCP Mohammed Mpinga akifuatiwa na Balozi wa kampeni za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Instagram yamtia matatani Balotelli

Shirikisho la soka FA linachunguza ujumbe wa Instagram wa mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotell unaodaiwa kuwa ni wa kibaguzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maoni ya facebook yamtia mashakani

Mahakama ya Singapore imemuhukumu muuguzi mmoja kutoka nchini Ufilipino kifungo cha miezi minne kwa kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu taifa hilo.

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Ndoa Yamtia ‘Uchizi’

CHIZIKA! Wakati hekeheka za maandalizi zikipamba juu ya ndoa ya karne ya staa wa sinema za Kibongo, Wolper, mwanadada huyo anaonekana kuingiwa na ‘uchizi’ juu ya suala hilo ambapo muda wote anawaza ni kwa namna gani ataweza kuweka historia juu ya shughuli yake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Jozi

Village, jijini Dar, Wolper alisema: “akili haijakaa sawa kabisa, nawaza juu ya ndoa yangu ambayo muda si mrefu itatimia, silali, sili na sipumui vizuri, kila kitu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?

‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani