Siri nzito; Kichefuchefu, kutapika wakati wa ujauzito
>Katika hili hakuna mpaka kwamba wanawake wengi duniani huumwa wakati wa ujauzito.Maradhi yao kwa lugha ya kitaalamu huitwa, maradhi ya asubuhi au kwa lugha ya Kiingereza ‘morning sickness’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Siri nzito
SIKU moja baada ya marais wawili wa Tanzania kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa, viongozi wa dini za Kikristo na Kiislam wamehitimisha kikao chao wakiwa na siri nzito kuhusu mustakabali wa taifa. Baadhi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
JK siri nzito
RAIS Jakaya Kikwete ana siri nzito moyoni ya kile anachotaka kuwaambia Watanzania wakati atakapolihutubia Bunge Maalumu la Katiba leo mjini Dodoma. Hotuba hiyo inayoashiria uzinduzi rasmi wa Bunge hilo la...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWjVveS5cS4kFOotDNWCx8l8wEx5KJWDoF**0I-ncraAOv0RY1DZ23N2WibH4Q5DAm*c*M2U5nk1dN8LAWJh6rf/mastaa.jpg?width=650)
SIRI NZITO ZAFICHUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL9HzGeLIYvahjVhiA0B2jJfaIysv5A-geLRIGQiTWK3eYJp7HR0Zvk9niAjDB00rp9BzGiAX-hlGqcSsJu9LNIi/FRONT.jpg)
DIAMOND, JK SIRI NZITO!
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Siri nzito bidhaa za machinga
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Siri nzito CCM 2015
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Ugaidi Tanga Siri nzito
OSCAR ASSENGA, TANGA
WAKATI nchi ikiwa bado kwenye taharuki ya mashambulio yanayodaiwa kufanana na ya kigaidi yaliyotokea katika Kijiji cha Mleni nje kidogo ya Jiji la Tanga, kumezuka madai mapya yanayowashutumu viongozi wa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kutoa uamuzi wa haraka kudhibiti wahalifu hao.
Uzembe huo unadaiwa kufanywa na uongozi wa polisi makao makuu Dar es Salaam pamoja na Tanga na hivyo kutoa fursa kwa wahalifu kufanya mashambulio na baadaye kutoroka.
Chanzo cha kuaminika kutoka...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Ugonjwa wa Kisukari wakati wa ujauzito — 2
KAMA kawaida tuanze makala yetu na kishtua mada tukiwasilikiza washkaji wawili. Mshikaji 1: Eti tunaweza tukaufananyisha ugonjwa wa kiharusi (stroke) na radi? Mshikaji 2: Ndio; hasa kwa kuwa hali zote...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Ugonjwa wa Kisukari wakati wa ujauzito
KAMA kawaida tuanze makala yetu na kishtua mada tukiwasikiliza washkaji wawili. Mshikaji 1: Ili uelewe maana ya stroke, mimi naona fikiria ile siku Dawasco walipokukatia maji. Ilikuwa kama janga fulani...