Bibi wa miaka 81 abakwa
MKAZI wa kijiji cha Luteba, wilayani hapa, jina linahifadhiwa (81) amedaiwa kubakwa na watu wasiojulikana na kumsababishia maumivu makali. Akisimulia mkasa huo Bibi huyo, alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3y8fLoU0Xx5jDoEEreCENf*OHnEevZQH5XWCPPGYvR8*e1fsW9nu8KWXRH28vexCfDQfFT3wDIdPAT5wV9WMFm/as.gif?width=650)
BIBI MIAKA 54 ALIA KUTOROKWA NA MCHUMBA MIAKA 25
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mtoto wa miaka 3 abakwa Afghanistan
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wH1dAkSgA3AnJjLfz55wJHjzrkoRp6dEqLDNeoiu4Dg4j5Rr-n0Ixxsf7Bznzh129na-OW*8dgmx9EuKktdW0j2/bint.jpg)
BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaar1GVWfR1K7vdlL7IMyDS2A*C5TOX9L2UVrqzpcZceuhPZ2rx-Qxg-VLEglrJzBW8KK36aJ7A2--UsQhJbtohrk/BACKUWAZI.gif)
MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA
10 years ago
Mwananchi24 Dec
NYANZA: Mtoto wa miaka 14 abakwa na vijana watano kwa zamu
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Bibi wa miaka 68 ajifungua mapacha Nigeria