Bibi wa miaka 68 ajifungua mapacha Nigeria
Bibi huyo alijifungua kwa upasuaji katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Lagos.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Ajifungua mapacha waliyoungana Geita
NEEMA Luswetula (23), mkazi wa Katoro wilayani Geita mkoani hapa amejifungua watoto wawili wenye jinsia tofauti wakiwa wamefariki huku wameungana sehemu ya tumbo na kifua. Akizungumza katika wodi ya wazazi...
10 years ago
Michuzi.jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
.jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
10 years ago
GPL
BIBI MIAKA 54 ALIA KUTOROKWA NA MCHUMBA MIAKA 25
10 years ago
Vijimambo
MTOTO WA MIAKA 11 AJIFUNGUA HUKO PARAGUAY

Madaktari katika mji mkuu wa Asuncion wamesema binti huyo na mtoto wake aliyejifungua kwa njia ya upasuaji wanaendelea vizuri.Tukio hilo limesababisha utata mkubwa nchini Paraguay na katika mitandao ya kijamii, Paraguay ni taifa linaloamini zaidi katika Ukatoliki ambapo mwanamke anaruhusiwa kutoa mimba pale tu afya yake...
11 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Bibi wa miaka 81 abakwa
MKAZI wa kijiji cha Luteba, wilayani hapa, jina linahifadhiwa (81) amedaiwa kubakwa na watu wasiojulikana na kumsababishia maumivu makali. Akisimulia mkasa huo Bibi huyo, alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi...
5 years ago
Michuzi
TASAF YABORESHA MAISHA YA BIBI WA MIAKA 90 CHUNYA
Na James K. Mwanamyoto – Chunya
Bibi mwenye umri wa miaka tisini, mkazi wa kijiji cha Mapogoro wilayani Chunya ambaye ni Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) Rozina Bilia Mwambogo, ameboresha maisha yake kwa kujenga nyumba ya kuishi, kujishughulisha na kilimo na mazao ya chakula ikiwa ni pamoja na kufuga nguruwe.
Bibi Mwambogo ametoa ushuhuda wa kuboresha maisha yake kupitia TASAF wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na...
11 years ago
Mwananchi20 Sep
Bibi Pelagia mwenye umri wa miaka 101
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Bibi wa miaka 85,akamatwa kwa kuiba hereni
11 years ago
GPL
MJUKUU ASAKWA KWA UBAKAJI, ULAWITI BIBI MIAKA 74!