Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva bodaboda wadaiwa kubaka kwa zamu

WAENDESHA bodaboda wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kwa tuhuma ya kumbaka msichana kwa zamu na kisha kumwekea mchanga katika sehemu zake za siri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Askari Sudan wadaiwa kuua na kubaka raia

Kikosi kimoja maalum cha serikali nchini Sudan kimeshutumiwa kwa kutekeleza maujai ya halaiki na ubakaji wa raia katika eneo la Darfur.

 

11 years ago

Habarileo

Madereva wa bodaboda watatu wafa kwa ajali

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius WamburaMADEREVA watatu wa bodaboda wamekufa katika matukio matatu tofauti yaliyohusisha ajali za barabarani.

 

10 years ago

Michuzi

KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizindua rasmi Chanjo ya  watoto kuzuia maambukizi ya magonjwa katika kata ya Nyakisasa kijiji cha Kashinga akiwa katika ziara yake ya kikazi wilayani Ngara mkoani Kagera,lengo la ziara hiyo likiwani ni kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa chama, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na ktibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na viongozi mbalimbali wa CCM  kutoka mkoa wa Kagera. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

9 years ago

Dewji Blog

PSPF watoa zawadi kwa washindi wa ligi ya madereva wa Bodaboda wa Kipunguni jijini Dar

 Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma(kushoto) akikabidhi jezi kwa kapteni wa timu ya G Unity Fc kwa ajili ya mchezo wa fainali uliofanyika katika kiwanja cha Kipunguni B katika kata ya Kipunguni manispaa ya Ilala jijini Dar. Ambapo timu ya G Unity FC waliibuka washindi baada ya kuichapa timu ya Sukuma Land Fc bao 5 kwa 2.   Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma(kushoto) akikabidhi jezi kwa kapteni wa timu ya Sukuma Land FC wakati wa mchezo wa fainali wa...

 

11 years ago

Michuzi

WATU WATANO (5) MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MADEREVA WAWILI WA BODABODA MKOANI DODOMA

Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watuhumiwa watatu ambao ni ALEX S/O LETEMA LEWENJE mweye umri wa miaka 20, Mkaguru, ANDREA S/O MAJUTO CHIGUNDULA mwenye umri wa miaka 24, Mkaguru na NABAKI S/O MAUNGO MWIGOE mwnye umri wa miaka 23, Mkaguru wote...

 

9 years ago

GPL

PSPF WATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI YA MADEREVA WA BODABODA WA KIPUNGUNI JIJINI DAR‏

Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma(kushoto) akikabidhi jezi kwa kapteni wa timu ya G Unity Fc kwa ajili ya mchezo wa fainali uliofanyika katika kiwanja cha Kipunguni B katika kata ya Kipunguni manispaa ya Ilala jijini Dar. Ambapo timu ya G Unity FC waliibuka washindi baada ya kuichapa timu ya Sukuma Land Fc bao 5 kwa 2. Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma (kushoto) akikabidhi jezi kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva 15 wa bodaboda mbaroni

Morogoro. Polisi Mkoa wa Morogoro inawashikilia madereva 15 wa bodaboda kwa tuhuma za kufanya vurugu katika eneo la Fire zilizosababishwa na mmoja wao kumdhalilisha askari mmoja wa kike.

 

10 years ago

Mwananchi

RC awavaa madereva bodaboda

Madereva wa pikipiki katika Mkoa wa Ruvuma (yeboyebo) ambao watabainika kujihusisha na vitendo vya uhalifu watachukuliwa hatua za kufikishwa katika vyombo vya sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani