SARAFINA AWAFUNDA MASTAA WANAOTUMIKA KINGONO
![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mzS9AnYWemTWt13hZeAgJRVDkQpr8DTHUXzzHhvpxk0sYlK9n8e9CmhAdRHtjVgEC6QimfvtPtWnyEU9nmGUHDX/Leleti.jpg?width=650)
Staa mwenye jina kubwa duniani kutoka Sauzi, Leleti Khumalo ‘Sarafina’. Imelda Mtema, Zanzibar
 Staa mwenye jina kubwa duniani kutoka Sauzi, Leleti Khumalo ‘Sarafina’ amewafunda mastaa wa kike kwa kuwataka wajitume ili kujiletea maendeleo kwa kuwa muda wa kutumiwa kingono na wanaume umepita. Akizungumza na Ijumaa mjini hapa akiwa mmoja wa wasanii waliohudhuria Tamasha la Ziff, Sarafina aliseme...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Ukubwa wa jina la Sarafina haumsumbui mumewe
MUME wa mwigizaji wa Afrika Kusini aliyewahi kutamba katika filamu ya ‘Sarafina’, Leleti Khumalo ‘Sarafina’, Skhutmazo Khanyile, amesema ukubwa wa jina la mke wake huyo haumpi changamoto yoyote katika ndoa yao.
“Jina la Sarafina ni kubwa mno ndani ya Afrika Kusini na nje lakini nilipomuoa na kukubali kuwa mke wangu amekuwa mke kweli kwa maisha halisi si ya kuigiza, anapokuwa nyumbani huwa mke na akiwa kwenye sanaa huwa Sarafina hakuna changamoto yoyote kwenye ndoa yetu,’’ alieleza Khanyile...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzaNo2K8GrOLMvoDjBw30VKPtobUZ-jssf*R4xXliv9mEepNX2JiOyQNWRNo783oDwJ2dQt9GttldY9Co9AtTcGd/p.txt1.jpg)
NORA ANANGA WASANII WANAOTUMIKA KISIASA!
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Riyama Awaasa Wasanii Wanaotumika Kutetea Matumbo ya Wanasiasa, Wakati…
Habari wapendwa wangu Leo naomba kuongea na wewe MTANZANIA mwenzangu rafiki yangu unae Like na ku comment katika ukurasa wangu (kwenye mtandao wa Instagram) naamini wewe ndio balozi wangu utake nifikishia ujumbe wangu Kwa jamii inayo tuzunguka.
Ndugu zangu kupiga kura ni haki ya kila MTANZANIA hivo shime tujitokeze kwa wingi kwa wale umri unao tu ruhusu kupiga kura angalizo usikubali kushurutishwa na mtu wa aina yeyote yule kwa kumchagua kiongozi anae mtaka yeye kwa maslahi yake, bali...
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Unyanyasaji wa Kingono marufuku:UN
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Wagonjwa wanyanyaswa kingono UK
10 years ago
Vijimambo02 Jan
WAGONJWA WANYANYASWA KINGONO UK
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/26/141226145715_hospital_640x360_pa_nocredit.jpg)
Mlipuko wa kisiri wa unyanyasaji wa kingono katika hospitali za Uingereza umegunduliwa huku takwimu mpya zikionyesha zaidi ya mashambulizi 1600 yaliripotiwa kwa polisi katika kipindi cha miaka mitatu iliopita.
Kumbukumbu zilizopatikana na gazeti la The Guardian chini ya sheria ya uhuru wa habari zinaonyesha ongezeko la asilimia 50 ya ripoti za unyanyasaji wa kingono kwa kutumia nguvu katika hospitali tangu mwaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Sheria yawalinda wanafunzi kingono US
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mke amkimbia mume kingono