“Watanzania wanataka mabadiliko...watayatafuta nje ya CCM"
>Kauli ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kuwa Watanzania wanataka mabadiliko na wasipoyapata ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM inaweza kutimia mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Nov
‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho
LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pIkfjCrlATFCJLwTcqU5EYY8vCOs4EpUI9jmILyrq*yzhRqB5I5wwRfajMrICWPzvzVdgx95MPIw0EQ6QFu0Rce/nyinyo.gif)
“BILA NYINYI WATANZANIA, MIMI NAKUFA”
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0sqcMujP6NPB3IpGVrreYCyoP-SX3z54A-gz21Ngme2RIamyMFSXEuik7pAV5O0q*MP6f8RGlskIYXblKKIsOC/001.jpg?width=650)
WASICHANA WERUWERU WAASWA: “FUATENI NYAYO, JIFUNZE NA KUPATA USHAURI KWA WANAWAKE WALIOFANIKIWA “
10 years ago
Mtanzania26 Feb
Ukawa: CCM wanataka Katiba mpya itumike uchaguzi mkuu
Fredy Azzah, Dar es Salaam
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kubaini mpango wa siri wa Serikali kutaka kuipitisha kwa hila Katiba Inayopendekezwa itumike kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
Hayo yalibainishwa jana na Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Chama cha Wananchi (CUF) Buguruni, Dar es Salaam.
“Tumepata taarifa kuwa CCM imeamua aidha inyeshe mvua au isinyeshe, Katiba Inayopendekezwa itapita kwenye kura ya maoni waweze...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
SIASA: Vita ya urais CCM nje nje
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Oktoba 25, siku muhimu ya mabadiliko ya Watanzania
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Deo Meck: Watanzania wanahitaji mabadiliko
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Gharama hii ya mabadiliko Watanzania hawapaswi kuilipa
MTU yeyote anapoenda dukani au sokoni kununua kitu fulani huwa ameweka bajeti ya kununulia kitu h
Lula wa Ndali Mwananzela