Ukawa: CCM wanataka Katiba mpya itumike uchaguzi mkuu
Fredy Azzah, Dar es Salaam
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kubaini mpango wa siri wa Serikali kutaka kuipitisha kwa hila Katiba Inayopendekezwa itumike kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
Hayo yalibainishwa jana na Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Chama cha Wananchi (CUF) Buguruni, Dar es Salaam.
“Tumepata taarifa kuwa CCM imeamua aidha inyeshe mvua au isinyeshe, Katiba Inayopendekezwa itapita kwenye kura ya maoni waweze...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Ukawa: CCM haiwezi kuleta Katiba Mpya
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XJ96Wr5Ynho/Ve7CgE6Cg0I/AAAAAAAAJt0/rENTil5ADLM/s72-c/Lowasa%2Bna%2BMagufuli.jpg)
ILANI ZA CHADEMA /UKAWA NA CCM ZINAVYOSEMA KUHUSU SUALA LA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJ96Wr5Ynho/Ve7CgE6Cg0I/AAAAAAAAJt0/rENTil5ADLM/s640/Lowasa%2Bna%2BMagufuli.jpg)
ya Chadema/UKAWA
Mosi, maelezo ya Mkt wa CHADEMA yanasema kuwa..."UKAWA inajengwa katika msingi mkuu wa kubadilisha katiba iliyopo ili kuweka katiba ya wananchi kwa ajili ya maendeleo yao. Katika kipindi hiki ambacho hali ya maisha ya Watanzania imeendelea kuwa duni, uchumi wa nchi yetu umeyumba, ubora wa elimu ni wa mashaka, ajira kwa vijana ni za kubahatisha na ukiukwaji na uvunjifu wa haki za...
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Katiba mpya ikamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu — Mizengo Pinda
Na Mwandishi wetu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Akizungumza Bungeni baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kutoa shukrani, Pinda alipendekeza kura ya maoni ipigwe sambamba na Rais ili kiongozi ajaye afanye kazi ya kutekeleza matakwa ya Katiba hiyo.
Alisema rais ajaye anaweza kuwa na ajenda zake, hivyo ni muhimu kumaliza kazi yote na...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-IHA_0HCClPM/U3uXQlGbvKI/AAAAAAAChpk/xi3NR9yzXu8/s1600/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM: KATIBA MPYA TUNAITAKA,LAKINI ISIWE YA KUKOROGA VICHWA VYA WATU
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0RXswG3rLC0/U3uXX4jZ7aI/AAAAAAAChps/SJGDtjLLOjU/s72-c/20.jpg)
KATIBA MPYA TUNAITAKA,LAKINI ISIWE YA KUKOROGA VICHWA VYA WATU-KATIBU MKUU WA CCM,KINANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0RXswG3rLC0/U3uXX4jZ7aI/AAAAAAAChps/SJGDtjLLOjU/s1600/20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xFM7uaZMxhA/U3uXAZwVoyI/AAAAAAAChpE/ZqUuXY-Gtu4/s1600/16.jpg)
9 years ago
GPLUCHAGUZI MKUU UKAWA WAGOMEA
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Ukawa wahofia Uchaguzi Mkuu kuahirishwa
11 years ago
Habarileo18 Apr
'Ukawa wamepanga kukwamisha Katiba mpya'
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mwigulu Nchemba amesema, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamepanga kukwamisha mchakato wa Katiba mpya.
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Je, Ukawa - Lowassa watahakikisha Katiba Mpya?
WAHENGA wamelonga ‘aliyeumwa na nyoka akiona unyasi hushituka’ Wazalendo wa Tanzania waliumwa na
Mwandishi Wetu
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10