Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, Ukawa - Lowassa watahakikisha Katiba Mpya?

WAHENGA wamelonga ‘aliyeumwa na nyoka akiona unyasi hushituka’ Wazalendo wa Tanzania waliumwa na

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Ukawa wamepanga kukwamisha Katiba mpya'

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mwigulu Nchemba amesema, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamepanga kukwamisha mchakato wa Katiba mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa wataka kuungwa mkono Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge wamewaomba wananchi kuwaunga mkono katika harakati za kudai Katiba Mpya yenye kujali masilahi ya Watanzania wote.

 

11 years ago

Mwananchi

Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya

>Wakati umesalia mwezi mmoja na siku 10 kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza tena vikao vyake mjini Dodoma kuendeleza mchakato wa Katiba Mpya itakayowaongoza Watanzania kwa zaidi ya miaka 50 ijayo, Mtendaji Mkuu wa Bunge hilo amesema kuwa bila kundi la Ukawa kurejea na kushiriki hatua zote haitawezekana kupata Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM haiwezi kuleta Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge umesema hatima ya kupata Katiba Mpya utaamuliwa na wananchi na wala siyo chama tawala.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa: CCM wanataka Katiba mpya itumike uchaguzi mkuu

Fredy Azzah, Dar es Salaam
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kubaini mpango wa siri wa Serikali kutaka kuipitisha kwa hila Katiba Inayopendekezwa itumike kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
Hayo yalibainishwa jana na Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Chama cha Wananchi (CUF) Buguruni, Dar es Salaam.
“Tumepata taarifa kuwa CCM imeamua aidha inyeshe mvua au isinyeshe, Katiba Inayopendekezwa itapita kwenye kura ya maoni waweze...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa kuhamasisha wananchi wasipige kura ya maoni Katiba mpya

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimetangaza rasmi kutoshiriki katika mchakato wa kura ya maoni ya katiba na kwamba kuanzia sasa vitahamasisha wananchi kuunga mkono.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya njia panda, Ukawa waapa kuendelea kususia vikao

>Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiazimia kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuwabana wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), viongozi wa kundi hilo wamesema hawatishwi na uamuzi huo na kwamba wataendelea kususia vikao hivyo.

 

10 years ago

Vijimambo

ILANI ZA CHADEMA /UKAWA NA CCM ZINAVYOSEMA KUHUSU SUALA LA KATIBA MPYA

ILANI YA CHADEMA / UKAWAKuhusu katiba mpya kuna nukuu kadhaa kutoka kwenye Ilani ya uchaguzi
ya Chadema/UKAWA

Mosi, maelezo ya Mkt wa CHADEMA yanasema kuwa..."UKAWA inajengwa katika msingi mkuu wa kubadilisha katiba iliyopo ili kuweka katiba ya wananchi kwa ajili ya maendeleo yao. Katika kipindi hiki ambacho hali ya maisha ya Watanzania imeendelea kuwa duni, uchumi wa nchi yetu umeyumba, ubora wa elimu ni wa mashaka, ajira kwa vijana ni za kubahatisha na ukiukwaji na uvunjifu wa haki za...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani