Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba Mpya njia panda, Ukawa waapa kuendelea kususia vikao

>Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiazimia kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuwabana wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), viongozi wa kundi hilo wamesema hawatishwi na uamuzi huo na kwamba wataendelea kususia vikao hivyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UAMUZI ULIOTANGAZWA NA WIZARA YA FEDHA KWA UKAWA BAADA YA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA KATIBA

Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba. Wizara ya Fedha kupitia Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba wametangaza uamuzi wa kufuta malipo ya Wabunge waliosusia vikao vya mchakato wa Katiba vinavyoendelea Dodoma.

Uamuzi huu umetangazwa ikiwa ni siku ya pili tangu Wajumbe wa Bunge la Katiba Kutoka UKAWA wasusie Shughuli za Bunge la Katiba kwa Madai wamechoka matusi na Kuburuzwa kwenye Bunge hilo.

Hii leo...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA AWAWEKA UKAWA NJIA PANDA!

Ojuku Abraham SINTOFAHAMU! Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoundwa na vyama vinne vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD sasa upo njia panda kuhusu ujio wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anayesemwa kutaka kutimka kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM). ... Soma zaidi===>http://bit.ly/1JeOk4n

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO WA KATIBA: Watanzania wako njia panda kura ya maoni

>Inashangaza sana kusema kuwa  mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unaosubiri Kura ya Maoni miezi mitatu ijayo, umeacha mvurugano na mgawanyiko kuliko hapo awali. Muda ndiyo utakaothibitisha ukweli huu na hii haimaanishi hata kidogo kuidharau Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Bongo5

Irene Uwoya adai yupo njia panda kuachia filamu yake mpya ‘Kisoda’

Muigizaji wa filamu, Irene Uwoya amedai kuwa yupo njia panda kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’ kutokana na gharama iliyotumika kuiandaa. Irene ameiambia Bongo5 kuwa akipata mnunuzi atakayefika bei ya filamu hiyo ataizua na asipopata atakaa nayo hadi soko litakapokaa vyema. “Bado sijaamua nini cha kufanya,” amesema. “Gharama zangu nilizozitumia ni kubwa sana. Hili kuhusu […]

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yatishia kususia kura ya maoni Katiba Mpya

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitakubali kura ya maoni za Katiba Mpya kufanyika bila daftari la wapiga kura kuboreshwa.

 

10 years ago

Michuzi

CCM ZANZIBAR YALAANI CUF KUSUSIA VIKAO VYA BARAZA

Na Mwashungi Tahir na Rahma Khamis-Maelezo Zanzibar Chama cha Mapinduzi CCM kimelaani kitendo kilichofanywa na Wajumbe wa Baraza la wawakilishi kupitia chama cha Wananchi (CUF) kutoka ndani ya kikao halali cha Baraza la Wawakilishi wakati wa mjadala wa kupitisha Mswaada wa sheria wa matumizi ya fedha za serikali kwa mwaka 2015/2016 ukiwa bado unaendelea.  Akizungumza na Waandishi wa habari Ofisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema kitendo kilichofanywa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukawa waapa kulinda kura

katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika BEATRICE SHAYO 4th October 2015 Kaimu katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa bahari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Tume ya Taifa ya […]

The post Ukawa waapa kulinda kura appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM njia panda

IKIWA imesalia wiki moja kabla ya watangaza nia wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamilisha mchakato

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani