Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdomo wamponza mwanamke Pakistan

Mwanamke mmoja amehukumiwa adhabu ya kifo nchini Pakistan kwa kosa la kufuru.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini

Klabu ya Chelsea na kocha wake, Jose Mourinho wamepinga uamuzi wa Chama cha Soka (FA) kumwadhibu kocha huyo kwa kauli alizozitoa karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

‘U-CCM’ wamponza Dk. Michael

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kuwaomba wajumbe wachache kwenye Kamati namba Tatu kusoma wenyewe taarifa yao baada ya wajumbe hao kutoridhishwa na usomaji wa Mwenyekiti wa kamati hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Urais wamponza Sitta

MWENENDO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, umeanza kutiliwa shaka huku baadhi ya wajumbe wenzake wakidai anateswa na dhambi ya unafiki. Sitta, ambaye aliongoza Bunge la Tisa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wimbo wa Lowassa wamponza

Jeshi la Polisi mkoani hapa limemkamata mkazi wa Chang’ombe Emmanuel William (35) kwa tuhuma za kupiga nyimbo za mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Chadema, Edward Lowassa kwa kutumia simu ya mkononi wakati akiwa kwenye foleni ya wapiga kura.

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa wamponza Askofu Kakobe

USHIRIKA wa wachungaji wa Kipentekoste nchini (PPFT) umemtaka Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zakaria Kakobe, kuacha tabia ya kutumia mwavuli wa dini kuhubiri chuki na uchochezi kwa wananchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mchepuko wamponza mkazi Newala

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani hapa, likiwemo tukio la mwanaume mmoja kucharangwa mapanga kwa madai ya kukutwa akifanya mapenzi na mke wa mtu. Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

GPL

MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!

WAANDISHI WETU/Amani NI msala! Kupigwa notisi ya kutakiwa kuhamisha kanisa kwa  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kumeelezwa kusababishwa na baadhi ya makahaba, wavuta bangi na wengineo, Amani limeambiwa. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Mapema wiki iliyopita, Gwajima amepewa  notisi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ikimtaka kuhamisha kanisa lake kwenye...

 

10 years ago

Mtanzania

Uropokaji wamponza Jerry Muro

muroNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) iliyokutana Mei 5, mwaka huu, imempiga faini ya Sh 5,000,000, Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, Jerry Muro, kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.

Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Muro alitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu kukiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodaboda, machinga wamponza Zungu

MBUNGE wa Ilala, Musa Azan ‘Zungu’ amehojiwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za uchochezi wa kutetea wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na waendesha bodaboda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani