Mdomo wamponza mwanamke Pakistan
Mwanamke mmoja amehukumiwa adhabu ya kifo nchini Pakistan kwa kosa la kufuru.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini
11 years ago
Mwananchi13 Apr
‘U-CCM’ wamponza Dk. Michael
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Urais wamponza Sitta
MWENENDO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, umeanza kutiliwa shaka huku baadhi ya wajumbe wenzake wakidai anateswa na dhambi ya unafiki. Sitta, ambaye aliongoza Bunge la Tisa...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Wimbo wa Lowassa wamponza
11 years ago
Habarileo21 May
Ukawa wamponza Askofu Kakobe
USHIRIKA wa wachungaji wa Kipentekoste nchini (PPFT) umemtaka Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zakaria Kakobe, kuacha tabia ya kutumia mwavuli wa dini kuhubiri chuki na uchochezi kwa wananchi.
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mchepuko wamponza mkazi Newala
WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani hapa, likiwemo tukio la mwanaume mmoja kucharangwa mapanga kwa madai ya kukutwa akifanya mapenzi na mke wa mtu. Kwa mujibu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PIgm1ECtz7F5pgmRKmvxyraKxJJV*vlmZsv2R18rzPxhMo6qeaHovKPZnIw6dQTcGQ4TwySKikNFS8YY-4mVRKg/BACKAMANI.jpg)
MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!
10 years ago
Mtanzania09 May
Uropokaji wamponza Jerry Muro
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) iliyokutana Mei 5, mwaka huu, imempiga faini ya Sh 5,000,000, Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, Jerry Muro, kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Muro alitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu kukiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Bodaboda, machinga wamponza Zungu
MBUNGE wa Ilala, Musa Azan ‘Zungu’ amehojiwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za uchochezi wa kutetea wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na waendesha bodaboda...