USINZIBE MDOMO MZEE KINANA MBONA SIKUSOMI?
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana. Tangu alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Novemba 2012, Abdulrahman Kinana amekuwa na staili inayonifurahisha sana. Kwa muda mfupi, amekirejesha chama tawala kule ambako kilistahili kuwa kwa siku zote. Nilipata fursa ya kukutana naye kwa mahojiano mwanzoni tu mwa uteuzi wake ofisini kwake pale Lumumba. Nilimuuliza maswali mengi kwa kila...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64mDrrktnSe1ax44pDYRSu8-2We5efeva7Yo*gfEFrtqW2w3ll1DbacsjS207X3VVg3tgvNTVayGwltgC6Y73IMF/bunge.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO: WANATAKA KUTUFUNGA, WENYEWE WANAJILINDA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vn1yC8FoKxmiRL9yKiY1ZqFVEiRK*M0p4o*YV7EGG4MnL9MNOTSSzeIRRqUnlyMKbNmkQ2vR9bkcPQNgaBdVriN/Survey.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO: MIGOMO INACHOCHEWA NA MAJIBU MEPESI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsqSwlMSTyRZTX1ES6AEPmY1Ui0bb-V-mxX3udTzuw-kIiom8SzKJopgt5oAvdj-1m3WemjIcaPLHZaSwbC9l2c/albino.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3a3X8W22Ro0/XtoYpoRkSYI/AAAAAAALsr4/1DesrrOHgXIBtBXW9PDA-g8LYdffEAwTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maoni%252Bpic.jpg)
ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3a3X8W22Ro0/XtoYpoRkSYI/AAAAAAALsr4/1DesrrOHgXIBtBXW9PDA-g8LYdffEAwTQCLcBGAsYHQ/s400/maoni%252Bpic.jpg)
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GM0U-Fq-kHY/XlkM8IW0lJI/AAAAAAACH8Y/2yl5WskW6Ok62Ww5O31cpn6jN-bIkOtOgCLcBGAsYHQ/s72-c/kinana%2Bmembe%2Bmakamba.jpg)
CCM YAMVUA UANACHAMA MEMBE, KINANA YAMPA KARIPIO, YAMSAMEHE MZEE MAKAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GM0U-Fq-kHY/XlkM8IW0lJI/AAAAAAACH8Y/2yl5WskW6Ok62Ww5O31cpn6jN-bIkOtOgCLcBGAsYHQ/s320/kinana%2Bmembe%2Bmakamba.jpg)
NA BASHIR NKOROMO, Dar es Salaam
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemvua uanachama Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje Bernard Membe huku Katibu Mkuu mstaafu Abdulrahman Kinana akipewa karipio na kutakiwa kutogombea nafasi yoyote ndani ya chama kwa miezi 18 na Katibu Mkuu mwingine mstaafu Yusuf Makamba akisamehewa.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya...
10 years ago
Dewji Blog29 Nov
Kinana alakiwa kwa Shangwe Mtwara vijijini, atoa heshima kwenye kumbukumbu ya mnara wa shujaa Hamad Mzee
![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea wakati akiwasili wilaya ya Mtwara kijijini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8xbgZdRbfs/VHisFCwcitI/AAAAAAAAUJk/xcXMOUJVr6A/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Mtwara vijijini ,Katibu Mkuu wa CCM anazunguka nchi nzima kufuatilia utekelezaji wa ilani na kuimarisha chama chetu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ae6g6ix6mNk/VHisHMF9v1I/AAAAAAAAUKE/2BU8IZ6SBbA/s1600/4.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza wananchi wa kata ya Nanyamba kujiandikisha kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s72-c/_MG_4687.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMJULIA HALI MZEE ISRAELI NAWINGA KIJIJINI KWAKE MASAMA LOSAA WILAYANI HAI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s1600/_MG_4687.jpg)
10 years ago
Michuzi28 Nov
KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI
Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara...