MADAHA, MDOMO ULIPONZA KICHWA
![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb8p6l6z7dY-0wwC41Ahm9ItVebfk7Z46e3TWu8wkqNLchDGFcgtswIjDe99s5rkxDrWsYCOno76zpBbMP8yZCB0/MAMAWEMA.jpg?width=650)
NI mara yangu ya pili kumzungumzia Baby Madaha katika safu hii. Nilimsifu kwa kadiri ninavyomfahamu, kwamba ni muimbaji mzuri na anayefanya kazi yake vizuri kabisa, hasa hivi sasa anapokuwa balozi mzuri wa nchi, kwani anafanya shughuli zake na meneja kutoka Kenya. Hapa nyumbani licha ya muziki, lakini anafanya pia filamu na huko kote amekuwa akifanya vizuri. Ingawa hajafikia kiwango cha kuweza kumlinganisha na msanii mkongwe...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mdomo wamponza mwanamke Pakistan
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Yanayosababisha mdomo kutoa harufu mbaya
10 years ago
Bongo507 Oct
New Video: Bamuyu Kijogoo — Funga Mdomo
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Mtuhumiwa amng’ata mdomo askari
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
KARANI wa Kampuni ya Mabasi ya abiria yaitwayo Happy African, Eliud Mwanyonga (40), amemng’ata mdomo askari wa kikundi cha ulinzi shirikishi aliyefahamika kwa jina moja la Ernest.
Tukio hilo lilitokea Ijumaa iliyopita saa 12 alfajiri katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani wakati askari huyo alipokuwa katika shughuli zake za kila siku.
Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, James Zebedayo, aliliambia MTANZANIA Jumatatu...
11 years ago
Habarileo22 Dec
Mume, mke wamng’oa mdomo mtalaka
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linafanya uchunguzi kuhusu tukio la mume na mke kumshambulia mtalaka wake Faustina Komba (35) mkazi wa jiji la mbeya kwa kumpiga ngumi, makofi na kumng’ata mdomo wake wa chini na kuuondoa wote.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkvfR7OQYRkqSxoUOtq*x3na-b3wSXDDYkKtPgJUYnv2fw6btK1RIjJ*uSYpU3cUvpn0-d-cylNkyQu9CgzGG9i/batu.jpg)
BATULI: SIASA IMENIFANYA NIFUNGE MDOMO
10 years ago
Bongo Movies30 Jan
Party ya Amanda, Walishana Keki Kwa Mdomo!!
Mwigizaji wa filamu ,Tamrina Poshi ‘Amanda’ hivi karibuni alifanyiwa pati ya bethidei ambapo kwenye zoezi la kuwalisha keki mashosti zake, aliwashangaza watu kwa kusema wote atawalisha kwa mdomo ‘staili ya kudendeka’.
Pati hiyo ilifanyika juzikati kwenye Ukumbi wa Tamigamiga, Mbezi Beach jijini Dar ambapo mbali na staili hiyo ya kulishana keki, eneo la tukio lilitawaliwa na vituko kutokana na mastaa wengi kuwa bwii.
Akizungumzia sherehe hiyo Amanda alisema: “Ilikuwa ni siku muhimu sana...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini