Party ya Amanda, Walishana Keki Kwa Mdomo!!
Mwigizaji wa filamu ,Tamrina Poshi ‘Amanda’ hivi karibuni alifanyiwa pati ya bethidei ambapo kwenye zoezi la kuwalisha keki mashosti zake, aliwashangaza watu kwa kusema wote atawalisha kwa mdomo ‘staili ya kudendeka’.
Pati hiyo ilifanyika juzikati kwenye Ukumbi wa Tamigamiga, Mbezi Beach jijini Dar ambapo mbali na staili hiyo ya kulishana keki, eneo la tukio lilitawaliwa na vituko kutokana na mastaa wengi kuwa bwii.
Akizungumzia sherehe hiyo Amanda alisema: “Ilikuwa ni siku muhimu sana...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N-95-3hJH88zkVzctPEvIkSsg1m-zxXq3CFwiXxhWgLARkVpaTk1nCFIrRrmwAFnf3zc54mgKeu0aMCgYujLwkn/IMG20150128WA0025.jpg?width=650)
PARTY YA AMANDA, FULL KUDENDEKA
9 years ago
Mwananchi08 Oct
NEC, polisi, wasimamizi walishana yamini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N-21XbOOzHDKOaKYyEZBAC4*cQQhxMQDgCEP4DoAy50*dsxKIKPaHW9ejpJWV*rF8rKWhSPuFy5h7w8haYKgTEq/34.jpg?width=650)
KEKI YA JOKATE KWA MILLARD AYO YAIBUA MAMBO!
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
VIJIMAMBO: Riyama Am-Surprise Farid Uwezo Kwa Keki ya Kamera
Hivi ni vijimambo tu.Mwigizaji wa filamu, Riyama Ally,alimfanyia surprise mpigapicha mahili wa filamu hapa nchini, Farid Uwezo kwa kumtengenezea keki yenye umbo la cammera. Ilikuwaje? Riyama anafunguka;
Udugu sio lazima kuzaliwa tumbo moja mkikinaiana mkapendana kwa dhati na mkaheshimiana basi ni undugu tosha nilianza kumjua faridi miaka saba iliopita mpaka leo amekua ndugu yangu kabla hajaanza kupiga picha mpaka sasa amekua gumzo ktk tasniayetu ya filamu
Ila hakuwai kunidharau hakuwahi...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
SHIDA SALUM: Mwanaharakati, mwanasiasa aliyepigania keki kwa wengine
KATIKA Safu ya Mwanamama, nawaletea aliyekuwa mtetezi wa walemavu na mwanaharakati wa haki za binadamu Shida Salum. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRNsHh3LOXKS02nalheiyGYDKTtJjheltGg0zeXN8xUU44Xp8edpkJdNpepdnKVFkqvYXvimxVjjXh-UTE7PL-G/mungumsaidie.jpg)
MTOTO MIAKA 3 AJISAIDIA HAJA KUBWA KWA NJIA YA MDOMO
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Amanda atumika kwa utapeli
Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.
Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.
Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Abiria wagombana kwenye treni kwa kukohoa bila kufunika mdomo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPi5-wWKN0gwsCMpelk6VgALoX*aEDsoCTjsJbpzo*ZHQ56RAs5I0--IQzZs5Hg8rSIb*p2m0K3Vq3seyNPlFvy/bodabodaz1.jpg)
DEREVA BODABODA MBARONI KWA KUMNG’ATA MWENZAKE MDOMO NA KUONDOKA NAO