Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJIMAMBO: Riyama Am-Surprise Farid Uwezo Kwa Keki ya Kamera

Hivi ni vijimambo tu.Mwigizaji wa filamu, Riyama Ally,alimfanyia  surprise mpigapicha mahili wa filamu hapa nchini, Farid Uwezo kwa kumtengenezea keki yenye umbo la cammera. Ilikuwaje? Riyama anafunguka;

Udugu sio lazima kuzaliwa tumbo moja mkikinaiana mkapendana kwa dhati na mkaheshimiana basi ni undugu tosha nilianza kumjua faridi miaka saba iliopita mpaka leo amekua ndugu yangu kabla hajaanza kupiga picha mpaka sasa amekua gumzo ktk tasniayetu ya filamu
Ila hakuwai kunidharau hakuwahi...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Kanipora Demu Wangu-Farid Uwezo

Mwigizaji wa filamu , Jacqueline Wolper amedaiwa kumchukua mpenzi wa msanii wa filamu ambaye pia ni mpigapicha, Farid Jamal ‘Farid Uwezo’  aliyejulikana kwa jina moja la Vivian.

Chanzo cha habari hii kilisema kuwa, tangu Wolper awe karibu na Vivi, Farid amekuwa akiumia sana kwani amekuwa akikosa muda wa kujiachia naye.

“Yaani Wolper kampora Farid Vivi wake, sasa hivi jamaa ameamua kumuacha maana anaona mambo hayaendi sawa.

“Watu wanajiuliza, Wolper anampa nini Vivi? Ni ushosti wa kawaida...

 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WAKUTWA NA KAMERA YA VIJIMAMBO MGAHAWA WA SWAHILI WAKIPATA SUPU

Wadau wakijipatia supu kama walivyokutwa na kamera ya Vijimambo Jumapili ya Oct 12, 20014 katika mgahawa wa Swahili uliopo Beltsville, Maryland nchini Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

PITA PITA YA KAMERA YA VIJIMAMBO MGAHAWA WA SAFARI WASHINGTON, DC.

 Wadau wakiwa DMV wakiwa ndani ya mgahawa wa Safari wakijipatia wakimalizia sikukuu ya krismasi na kuukaribisha mwaka kwa kujinafasi na menyu kwenye mgahawa huo uliopo mtaa wa Georgia jijini Washington, DC. Kushoto ni Mindi Kasiga akifuatiwa na Edward Taji na Tom wakipata ile roho inapenda ndani ya mgahawa wa Safari DC.

 

10 years ago

Bongo Movies

Party ya Amanda, Walishana Keki Kwa Mdomo!!

Mwigizaji wa filamu ,Tamrina Poshi ‘Amanda’ hivi karibuni alifanyiwa pati ya bethidei ambapo kwenye zoezi la kuwalisha keki mashosti zake, aliwashangaza watu kwa kusema wote atawalisha kwa mdomo ‘staili ya kudendeka’.

Pati hiyo ilifanyika juzikati kwenye Ukumbi wa Tamigamiga, Mbezi Beach jijini Dar ambapo mbali na staili hiyo ya kulishana keki, eneo la tukio lilitawaliwa na vituko kutokana na mastaa wengi kuwa bwii.

Akizungumzia sherehe hiyo Amanda alisema: “Ilikuwa ni siku muhimu sana...

 

10 years ago

GPL

KEKI YA JOKATE KWA MILLARD AYO YAIBUA MAMBO!

‘Mtu wa Nguvu’ Millard Ayo na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ wakifurahia jambo kwenye ‘bethidei’ yake.  Stori: Hamida Hassan na Musa Mateja/Ijumaa
Keki iliyoandaliwa na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kwa ajili ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ‘bethidei’ ya Millard Ayo ‘Mtu wa Nguvu’ imeibua mambo kwa mashabiki wao. TUJIUNGE NYUMBANI KWA MILLARD
Ishu hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SHIDA SALUM: Mwanaharakati, mwanasiasa aliyepigania keki kwa wengine

KATIKA Safu ya Mwanamama, nawaletea aliyekuwa mtetezi wa walemavu na mwanaharakati wa haki za binadamu Shida Salum. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama ahimiza Kamera kwa Polisi

Rais Barack Obama wa Marekani amesisitiza matumizi ya Kamera kwa polisi nchini ili kukabiliana na ongezeko la vitendo vya mauaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Kamera za kuzuia uhalifu zitumike kwa tija

Juzi, Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali inajipanga kuweka kamera maalumu za CCTV katika miji mikuu, kwa minajili ya kukabiliana na wimbi la uhalifu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuimarishe matumizi ya kamera za CCTV kwa usalama wetu

Siku moja nilikuwa niko safarini nikaona basi lililokuwa linakuja mbele yangu likilipita jingine kwa mwendo wa kasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani