Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuimarishe matumizi ya kamera za CCTV kwa usalama wetu

Siku moja nilikuwa niko safarini nikaona basi lililokuwa linakuja mbele yangu likilipita jingine kwa mwendo wa kasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...

 

9 years ago

Mwananchi

JK : Tutafunga kamera za CCTV kulinda wananchi

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete amesema ili kuwaweka salama wananchi kamera maalum za CCTV zitafungwa katika miji mikuu kukabiliana na wahalifu nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV

WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze  kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...

 

11 years ago

Habarileo

Kamera za CCTV kufungwa mitaani Z’bar

MAENEO mbalimbali visiwani Zanzibar, yamepangwa kuwekwa kamera za CCTV, kukabili matukio ya uhalifu. Waziri wa Habari, Utangazaji, Utalii na Michezo, Said Ali Mbarouk amesema mchakato wa utafiti wa kuweka kamera hizo, umekamilika na kipaumbele ni eneo la Mji Mkongwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu

Mwandishi mmoja wa gazeti hili aliwahi kuandika makala kuhusu nafasi ya mafunzo ya dini katika kuliandaa Taifa lenye maadili mema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Abbott ''Usalama wetu unatangulia uhuru ''

Waziri mkuu wa Australia Tony Abbott amependekeza mabadiliko ya Sheria kudhibiti kuenea kwa ugaidi

 

10 years ago

Michuzi

WENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU - TANZANIA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu upokonyaji wa silaha. wajumbe wa mkutano huo wamejadiliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kudhibiti matumizi ya silaya za nyukili ikiwa ni pamoja na kusambaa kwake pamoja kuanzishwa kwa Ukanda huru dhidi ya silaha hizo. Sehemu ya wajumbe wa mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya upokonyaji wa silaha, mkutano huu unafanyika hapa...

 

10 years ago

Vijimambo

WENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU-TANZANIA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu upokonyaji wa silaha. wajumbe wa mkutano huo wamejadiliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kudhibiti matumizi ya silaya za nyukili ikiwa ni pamoja na kusambaa kwake pamoja kuanzishwa kwa Ukanda huru dhidi ya silaha hizoSehemu ya wajumbe wa mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya upokonyaji wa silaha, mkutano huu unafanyika hapa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani