JK : Tutafunga kamera za CCTV kulinda wananchi
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete amesema ili kuwaweka salama wananchi kamera maalum za CCTV zitafungwa katika miji mikuu kukabiliana na wahalifu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Jun
Kamera za CCTV kufungwa mitaani Z’bar
MAENEO mbalimbali visiwani Zanzibar, yamepangwa kuwekwa kamera za CCTV, kukabili matukio ya uhalifu. Waziri wa Habari, Utangazaji, Utalii na Michezo, Said Ali Mbarouk amesema mchakato wa utafiti wa kuweka kamera hizo, umekamilika na kipaumbele ni eneo la Mji Mkongwe.
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV
WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Tuimarishe matumizi ya kamera za CCTV kwa usalama wetu
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Tunawapongeza wananchi kwa kulinda amani
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wananchi watakiwa kulinda maeneo ya ardhioevu
WANANCHI wanaoishi kando ya maeneo ya ardhioevu na sehemu ambazo mito inakutana na bahari, wamehimizwa kuzingatia matumizi bora ya maeneo hayo, ili yasilete madhara ya mali, uhai wao na uharibifu...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
LEAT yawajengea uwezo wananchi kulinda rasilimali
CHAMA cha Wanasheria Watetezi wa Mazingira (LEAT) kwa sasa kinaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wananchi, kamati za maliasili na mazingira na viongozi kutoka vijiji na kata mbalimbali za wilaya ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s72-c/chagonja.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s320/chagonja.jpg)
JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K1Gb-YZPUFk/ViKkMk8VSTI/AAAAAAAIAm0/ZsQT3LZQEOs/s72-c/12-Makondaa.jpg)
WANANCHI WAMETAKIWA KULINDA AMANI SIKU YA UCHAGUZI MKUU-MAKONDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-K1Gb-YZPUFk/ViKkMk8VSTI/AAAAAAAIAm0/ZsQT3LZQEOs/s320/12-Makondaa.jpg)
Makonda ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kinondoni pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa, wagombea wa ngazi...