WANANCHI WAMETAKIWA KULINDA AMANI SIKU YA UCHAGUZI MKUU-MAKONDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-K1Gb-YZPUFk/ViKkMk8VSTI/AAAAAAAIAm0/ZsQT3LZQEOs/s72-c/12-Makondaa.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiIKIWA zimebakia siku nane kufikia Uchaguzi Mkuu, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewataka wananchi wa wilaya hiyo kusimamia amani na utulivu wa nchi bila kufanya hivyo ahadi za wagombea wote hazitoweza kutekelezeka na badala yake kuanza kuugua maumivu ya uchaguzi huo
Makonda ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kinondoni pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa, wagombea wa ngazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDC PAUL MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA VYAMA VYA SIASA KUOMBEA NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
5 years ago
MichuziSERIKALI YAWAHIKIKISHIA AMANI NA USALAMA WANANCHI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na vyombo vya habari Visiwani Zanzibar
9 years ago
StarTV18 Sep
Wananchi watakiwa kuepuka uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu
Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko juu ya uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na baadhi ya watu kufanya vitendo vyenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani.
Zaidi ya matukio 107 yameripotiwa katika vituo vya polisi na 38 tayari yamefunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani yakiwa na jumla ya watuhumiwa 52.
Akitoa tamko hilo msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi SSP Advera Bulimba amesema katika kipindi hiki cha kampeni na kuelekea uchaguzi mkuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Tunawapongeza wananchi kwa kulinda amani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3z8OvlyMehg/VTo7mt_HMZI/AAAAAAAA7bQ/-nWtcq4BfR4/s72-c/281.jpg)
BALOZI SEIF AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KWA AMANI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU BAADAYE MWAKA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-3z8OvlyMehg/VTo7mt_HMZI/AAAAAAAA7bQ/-nWtcq4BfR4/s1600/281.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z1-DhriPDgU/VTo7oH3qcWI/AAAAAAAA7bY/z3XYHtBDIfA/s1600/297.jpg)
...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s72-c/chagonja.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s320/chagonja.jpg)
JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mkurugenzi wa Apex Group aomba wananchi kudumisha Amani na Utulivu katika Uchaguzi Mkuu utakao fanyika kesho nchini kote
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex Group na Mwanaharakati, Joseph Mhonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho nchini kote. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara Habari Maelezo, Vicent Tiganya (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex...
9 years ago
VijimamboMKURUGENZI WA MAKAMPUNI YA APEX GROUP AOMBA WANANCHI KUDUMISHA AMANI NA UTULIVU KATIKA UCHAGUZI MKUU UTAKAO FANYIKA KESHO KUTWA KOTE NCHINI