Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama ahimiza Kamera kwa Polisi

Rais Barack Obama wa Marekani amesisitiza matumizi ya Kamera kwa polisi nchini ili kukabiliana na ongezeko la vitendo vya mauaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Michelle Obama ahimiza wasichana wasiogope wavulana

Mke wa Rais wa Marekani Michelle Obama amewashauri wasichana waliobalege kutowaogopa wavulana shuleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamera za kuzuia uhalifu zitumike kwa tija

Juzi, Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali inajipanga kuweka kamera maalumu za CCTV katika miji mikuu, kwa minajili ya kukabiliana na wimbi la uhalifu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuimarishe matumizi ya kamera za CCTV kwa usalama wetu

Siku moja nilikuwa niko safarini nikaona basi lililokuwa linakuja mbele yangu likilipita jingine kwa mwendo wa kasi.

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Riyama Am-Surprise Farid Uwezo Kwa Keki ya Kamera

Hivi ni vijimambo tu.Mwigizaji wa filamu, Riyama Ally,alimfanyia  surprise mpigapicha mahili wa filamu hapa nchini, Farid Uwezo kwa kumtengenezea keki yenye umbo la cammera. Ilikuwaje? Riyama anafunguka;

Udugu sio lazima kuzaliwa tumbo moja mkikinaiana mkapendana kwa dhati na mkaheshimiana basi ni undugu tosha nilianza kumjua faridi miaka saba iliopita mpaka leo amekua ndugu yangu kabla hajaanza kupiga picha mpaka sasa amekua gumzo ktk tasniayetu ya filamu
Ila hakuwai kunidharau hakuwahi...

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL KWA PRODYUZA MONA GANGSTAR NA KALA JEREMIAH , TANESCO NA NYAYA ZILIZOSHUKA

Mtayarishaji  wa muziki wa kizazi kipya ambaye ni mmiliki wa Studio Classic Sound, Monami Rangi “Mona Gangstar” akiwa katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo mpya wa mkali wa Hip Pop nchini, Kala Jeremiah, ambao haujabatizwa jina.
Mona Gangstar, aki-‘mix’  wimbo wa Kala Jeremiah katika Studio za Classic Sound, zilizopo maeneo ya Kinondoni -Manyanya.…
...

 

11 years ago

Mwananchi

JK ahimiza haki ipatikane kwa wakati

Rais Jakaya Kikwete amewataka wadau wa haki na sheria na vyombo vyote kushirikiana pamoja katika utendaji kazi, ili kuwawezesha walengwa kupata haki zao kwa wakati.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

KAMERA YA MTAA KWA MTAA NA TASWIRA ZA AJALI YA KUTATANISHA

 Katika pita pita zetu za Mtaa kwa Mtaa,tuliibuka maeneo ya Tabata Matumbi jijini Dar es Salaam na kukutana na mziki huu mnene na wakutatanisha uliozikutanisha gari mbili,ukiangaliwa kwa makini utabaini kuwa hili gari kubwa lenye nambari za Usajili T 544 CKG mali ya Kampuni ya Azania lilikuwa lipo kwenye njia yake halali kabisa kuelekea Buguruni na huyo mwenye Gari ndogo lenye nambari za Usajili T806 AVT anaonekana akielekea Ubungo lakini katika njia ambayo haimruhusu yeye...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.

MNAMO TAREHE 14.08.2015 MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHADEMA ALIKUJA MKOA WA MBEYA AKIWA AMEANDAMANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA CUF, NCCR – Mageuzi NA NLD KWA DHUMUNI LA KUMTAMBULISHA NA KUOMBA UDHAMINI WA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA KWA NAFASI YA URAIS.


KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani