Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIDA SALUM: Mwanaharakati, mwanasiasa aliyepigania keki kwa wengine

KATIKA Safu ya Mwanamama, nawaletea aliyekuwa mtetezi wa walemavu na mwanaharakati wa haki za binadamu Shida Salum. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MAMA YAKE ZITTO, BI. SHIDA SALUM WASAFIRISHWA KWENDA KIGOMA KWA MAZISHI

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe akiwa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba wakati wa kuuaga mwili wa mama yake kipenzi Bi. Shida Salum aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Waheshimiwa wabunge na baadhi ya viongozi wakibeba jeneza lililobeba mwili wa marehemu mama yake Zitto Kabwe, Bi. Shida Salum kuingiza kwenye ndege tayari kwa safari ya kwenda Kigoma kwenye mazishi.…...

 

11 years ago

IPPmedia

Chadema Central Committee member Shida Salum dies in Dar


IPPmedia
Chadema Central Committee member Shida Salum dies in Dar
IPPmedia
Top & Above: Kigoma North legislator Zitto Kabwe (2nd-L) and other mourners including his father, Kabwe Zuberi, pray at Al-Mamour Mosque at Upanga in Dar es Salaam yesterday shortly before the body of the MP's mother, Shida Salum (64), was ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa

Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.

 

10 years ago

Bongo Movies

Party ya Amanda, Walishana Keki Kwa Mdomo!!

Mwigizaji wa filamu ,Tamrina Poshi ‘Amanda’ hivi karibuni alifanyiwa pati ya bethidei ambapo kwenye zoezi la kuwalisha keki mashosti zake, aliwashangaza watu kwa kusema wote atawalisha kwa mdomo ‘staili ya kudendeka’.

Pati hiyo ilifanyika juzikati kwenye Ukumbi wa Tamigamiga, Mbezi Beach jijini Dar ambapo mbali na staili hiyo ya kulishana keki, eneo la tukio lilitawaliwa na vituko kutokana na mastaa wengi kuwa bwii.

Akizungumzia sherehe hiyo Amanda alisema: “Ilikuwa ni siku muhimu sana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa ashtakiwa kwa kulangua watoto

Mwanasiasa mashuhuri,wanajeshi pamoja na wafanyibiashara wamefikishwa mahakamani nchini Niger kwa kuhusika na ulanguzi wa watoto.

 

10 years ago

GPL

KEKI YA JOKATE KWA MILLARD AYO YAIBUA MAMBO!

‘Mtu wa Nguvu’ Millard Ayo na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ wakifurahia jambo kwenye ‘bethidei’ yake.  Stori: Hamida Hassan na Musa Mateja/Ijumaa
Keki iliyoandaliwa na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kwa ajili ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ‘bethidei’ ya Millard Ayo ‘Mtu wa Nguvu’ imeibua mambo kwa mashabiki wao. TUJIUNGE NYUMBANI KWA MILLARD
Ishu hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi jela kwa kumuua mwanaharakati Rwanda

Polisi wawili nchini Rwanda, wamefungwa miaka 20 jela kwa kumuua mwanaharakati wa kupinga ufisadi, aliyekuwa anachunguza kashfa ya ulanguzi wa madini mpakani .

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Riyama Am-Surprise Farid Uwezo Kwa Keki ya Kamera

Hivi ni vijimambo tu.Mwigizaji wa filamu, Riyama Ally,alimfanyia  surprise mpigapicha mahili wa filamu hapa nchini, Farid Uwezo kwa kumtengenezea keki yenye umbo la cammera. Ilikuwaje? Riyama anafunguka;

Udugu sio lazima kuzaliwa tumbo moja mkikinaiana mkapendana kwa dhati na mkaheshimiana basi ni undugu tosha nilianza kumjua faridi miaka saba iliopita mpaka leo amekua ndugu yangu kabla hajaanza kupiga picha mpaka sasa amekua gumzo ktk tasniayetu ya filamu
Ila hakuwai kunidharau hakuwahi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DOMINICA HAULE: Mwanaharakati anayeamini mafanikio huja kwa mpangilio

LEO namzungumzia Dominica Haule, mwanahabari mkongwe, mwanaharakati wa haki za binadamu anayepambana bila kelele, makeke, majigambo au mashindano. Anaamini utetezi wa haki za binadamu na suala zima la jinsia linahitaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani