Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Central Committee member Shida Salum dies in Dar


IPPmedia
Chadema Central Committee member Shida Salum dies in Dar
IPPmedia
Top & Above: Kigoma North legislator Zitto Kabwe (2nd-L) and other mourners including his father, Kabwe Zuberi, pray at Al-Mamour Mosque at Upanga in Dar es Salaam yesterday shortly before the body of the MP's mother, Shida Salum (64), was ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

CCM Central Committee to meet on Saturday


CCM Central Committee to meet on Saturday
Daily News
THE rulling Chama Cha Mapinduzi (CCM)'s Central Committee under the Chairmanship of President Jakaya Kikwete is set to meet in Dar es Salaam on Saturday for a one-day ordinary meeting, it has been revealed. The party's Secretary for Publicity and ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SHIDA SALUM: Mwanaharakati, mwanasiasa aliyepigania keki kwa wengine

KATIKA Safu ya Mwanamama, nawaletea aliyekuwa mtetezi wa walemavu na mwanaharakati wa haki za binadamu Shida Salum. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MAMA YAKE ZITTO, BI. SHIDA SALUM WASAFIRISHWA KWENDA KIGOMA KWA MAZISHI

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe akiwa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba wakati wa kuuaga mwili wa mama yake kipenzi Bi. Shida Salum aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Waheshimiwa wabunge na baadhi ya viongozi wakibeba jeneza lililobeba mwili wa marehemu mama yake Zitto Kabwe, Bi. Shida Salum kuingiza kwenye ndege tayari kwa safari ya kwenda Kigoma kwenye mazishi.…...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC: Chadema inatupa shida

Dar/Arusha. Ombi la Chadema la kutaka wataalamu wa Tehama wa vyama vya siasa na waangalizi wa kimataifa waruhusiwe kukagua programu itakayotumika kuhesabu kura za urais, limesababisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kukitaja chama hicho kuwa ndicho pekee kinachoipa shida katika utekelezaji wa majukumu yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Salum Mwalim ajitosa CHADEMA

MWANAHABARI Salum Mwalim, amejitosa kugombea ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia nafasi za Zanzibar. Mwalim ambaye kwa sasa ni Meneja Uhusiano wa nje wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Salum Mwalimu: Chadema kimbilio la wanyonge

SALUM Mwalimu, si jina geni kwa Watanzania wengi wanaofuatilia matukio yanayotokea hapa nchini na nje ya nchi mara kwa mara. Jina hili ni la mwanahabari aliyejizolea umaarufu mkubwa akiwa katika...

 

10 years ago

GPL

SALUM MWALIMU AJITOSA KUWANIA NAFASI YA UJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA ZANZIBAR

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA Zanzibar Bi. Maryam Ahmed Omar akimkabidhi Salum Mwalim fomu ya kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho kundi la Zanzibar katika hafla fupi iliyofanyika ofisi kuu za Chadema kisiwani humo.
Mmoja wa wachama wa CHADEMA Zanzibar Bikwao Khamis akitia saini ya fomu ya udhamini wa Salum Mwalim (aliyesimama wa kwanza kushoto) anaegombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Salum Mwalimu ajitosa kuwania nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Zanzibar

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA Zanzibar Bi Maryam Ahmed Omar akimkabidhi fomu Salum Mwalim fomu ya kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho kundi la Zanzibar katika hafla fupi iliyofanyika ofisi kuu za Chadema kisiwani humo. Mmoja wa wachama wa CHADEMA Zanzibar Bikwao Khamis akitia saini ya fomu ya udhamini wa Salum Mwalim (aliyesimama wa kwanza kushoto) anaegombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho kundi la Zanzibar. Mwalim alichukua na...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA,ZANZIBAR SALUM MWALIM ATUNUKU VYETI KWA WANACHAMA WA CHASO MKOA WA KILIMANJARO

Naibu Katibu mkuu wa Chadema Taifa upande wa Zanzibar Salum Mwalimu akizungumza wakati wa mahafali ya Chaso mkoa wa Kilimanjaro yaliyofanyika katika shule ya sekondari Majengo.
Naibu katibu mkuu Chadema Zanzibar,Salum Mwalimu akitunuku yeti kwa wanafunzi wana tarajia kumaliza elimu ya chuo kikuu ambao ni wanachama wa Chaso mkoa wa Kilimanjaro.Baadhi ya wanachama wa Chaso  kutoka vyuo mbalimbali mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katimsikiliza Naibu katibu mkuu wa Chadema taifa,upande wa Zanzibar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani