Salum Mwalim ajitosa CHADEMA
MWANAHABARI Salum Mwalim, amejitosa kugombea ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia nafasi za Zanzibar. Mwalim ambaye kwa sasa ni Meneja Uhusiano wa nje wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nMLRpERHWfk/VWwOubSwRxI/AAAAAAAAQJc/ORX7BznU9Tw/s72-c/E86A8710%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA,ZANZIBAR SALUM MWALIM ATUNUKU VYETI KWA WANACHAMA WA CHASO MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMLRpERHWfk/VWwOubSwRxI/AAAAAAAAQJc/ORX7BznU9Tw/s640/E86A8710%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_XIiHO4JWXc/VWwO6ccI90I/AAAAAAAAQLM/HlX3PWk2LXU/s640/E86A8760%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IOA0cKEpUWA/VWwOyhmLyII/AAAAAAAAQKA/B4sfgy9GrOo/s640/E86A8714%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
GPLSALUM MWALIMU AJITOSA KUWANIA NAFASI YA UJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMdau Salum Mwalimu ajitosa kuwania nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Zanzibar
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA MH. TUNDU LISSU NA MH SALUM MWALIM KANDA YA ZIWA
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Salum Mwalim akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni mjini Magu, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya mfululizo wa mikutano ya chama kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kujiandaa kupiga kura uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Mtanzania21 May
Amina Salum Ali ajitosa urais CCM
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
MBIO za kuwani urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeanza kushika kasi,baada ya mwanasiasa mkongwe Amina Salum Ali kutangaza rasmi kugombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba,mwaka huu.
Amina ambaye alikuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU), nchini Marekani anakuwa mwana CCM na mwanamke wa kwanza kutangaza azma yake hadharani.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Amina alitoa vipaumbele vyake...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0R-hl2IAqZM/VQ7v9TBSkLI/AAAAAAAHMO0/iS8qe0QNOHo/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zanzibar, Salim Mwalim, aunguruma mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-0R-hl2IAqZM/VQ7v9TBSkLI/AAAAAAAHMO0/iS8qe0QNOHo/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UrVd5gZVO0E/VQ7v89C9f2I/AAAAAAAHMOs/zNy2WMYUuh0/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b_-sxzdPAuA/VQ7v8vtWu4I/AAAAAAAHMOo/zx10mpskaJM/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-909Pkg9D00s/VQ7v_JUT5vI/AAAAAAAHMPA/Zm3QuTRy27Y/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Salum Mwalimu: Chadema kimbilio la wanyonge
SALUM Mwalimu, si jina geni kwa Watanzania wengi wanaofuatilia matukio yanayotokea hapa nchini na nje ya nchi mara kwa mara. Jina hili ni la mwanahabari aliyejizolea umaarufu mkubwa akiwa katika...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Chifu Biringi ajitosa uenyekiti CHADEMA Dodoma
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Makulu, Wilaya ya Dodoma Mjini, Chifu Ally Biringi, amejitosa kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Dodoma. Akizungumza...
11 years ago
IPPmedia02 Jun
Chadema Central Committee member Shida Salum dies in Dar
IPPmedia
IPPmedia
Top & Above: Kigoma North legislator Zitto Kabwe (2nd-L) and other mourners including his father, Kabwe Zuberi, pray at Al-Mamour Mosque at Upanga in Dar es Salaam yesterday shortly before the body of the MP's mother, Shida Salum (64), was ...