Chifu Biringi ajitosa uenyekiti CHADEMA Dodoma
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Makulu, Wilaya ya Dodoma Mjini, Chifu Ally Biringi, amejitosa kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Dodoma. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Feb
Mgimwa, Chifu wawaponda Chadema
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya uzinduzi rasmi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kalenga huku Chifu wa Wahehe, Abdu Sapi Mkwawa akikisuta Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kutoa taarifa za uongo kwamba anamuunga mkono mgombea wao, Grace Tendega.
Katika uchaguzi huo, CCM imemsimamisha Godfrey Mgimwa, mtoto wa marehemu Dk William Mgimwa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, baada ya kushinda kwa kishindo kura za maoni za chama hicho dhidi ya wagombea wengine...
10 years ago
Uhuru NewspaperUenyekiti waipasua CHADEMA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza majina ya makada wake wanaowania nafasi za uongozi ngazi ya taifa huku majina ya vigogo na wabunge yakisheheni.
Tayari uchaguzi huo umezidi kukiweka njiapanda chama hicho kutokana na makada wengi kuenguliwa kwenye ngazi za majimbo na mikoa, ikiwa ni mkakati wa kuwatosa wanachama wapenda...
9 years ago
Mwananchi13 Dec
CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti
10 years ago
GPLFREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI CHADEMA
5 years ago
CCM BlogCHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE
Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.
10 years ago
Michuzi10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Salum Mwalim ajitosa CHADEMA
MWANAHABARI Salum Mwalim, amejitosa kugombea ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia nafasi za Zanzibar. Mwalim ambaye kwa sasa ni Meneja Uhusiano wa nje wa...
10 years ago
MichuziRais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA CHIFU KINGALU WA 14 WA WALUGURU, NA KUSIMIKWA KWA CHIFU KINGALU 15 KIJIJINI KINOLE, MOROGORO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na pia kumpongeza Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na hatimaye mazishi ya kaka yake Marehemu Chifu Kingalu wa 14.
Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 akiongea machache baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na...