Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanasiasa ashtakiwa kwa kulangua watoto

Mwanasiasa mashuhuri,wanajeshi pamoja na wafanyibiashara wamefikishwa mahakamani nchini Niger kwa kuhusika na ulanguzi wa watoto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa

Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SHIDA SALUM: Mwanaharakati, mwanasiasa aliyepigania keki kwa wengine

KATIKA Safu ya Mwanamama, nawaletea aliyekuwa mtetezi wa walemavu na mwanaharakati wa haki za binadamu Shida Salum. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto...

 

10 years ago

GPL

WEMA ASHTAKIWA KWA KOVA

Waandishi wetu
KIMENUKA! Mtangazaji na MC (master of ceremony) maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ameivalia njuga tabia ya mastaa kuhusika na matusi ya mtandaoni na kupiga picha za utupu ambapo kwa kuanza amemshitaki mwanadada Wema Isaac Sepetu kwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akimtuhumu kuwa kati yao. Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu. Akizungumza na Ijumaa katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ashtakiwa kwa kumtia mimba mwanawe

Mahakama moja nchini Kenya imemshtaki afisa mmoja wa wadi ya Bukembe kwa kulala na mwanawe wa kike kwa zaidi ya miaka miwili

 

11 years ago

BBCSwahili

Ashtakiwa kwa kuvizia siri za Marekani

Mamlaka nchini Marekani imemshtaki mfanyibiashara wa Uchina kwa kudukua mifumo ya kompyuta ili kuiba habari za miradi ya kijeshi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Diendere ashtakiwa kwa mauaji ya Sankara

Kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso, Gilbert Diendere ameshtakiwa kwa mauaji ya rais wa zamani wa nchi hiyo Thomas Sankara

 

9 years ago

Mtanzania

Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi

Taylor_SwiftNEW YORK, MAREKANI

MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.

Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.

Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Cosby ashtakiwa kwa dhuluma za kimapenzi

Mwigizaji na mchekeshaji mkongwe wa Marekani Bill Cosby ameshitakiwa kwa kumdhulumu kimapenzi mwanamke anayedai kuwa alibakwa na mwigizaji huyo alipokuwa na umri wa miaka 15.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu ashtakiwa kwa kumdharau rais

Mwanablogu maarufu lakini anayezusha mzozo Kenya ameshtakiwa kwa kumdharau rais,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani