Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanablogu ashtakiwa kwa kumdharau rais

Mwanablogu maarufu lakini anayezusha mzozo Kenya ameshtakiwa kwa kumdharau rais,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa Thailand ashtakiwa

Aliyekuwa waziri mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra ameshtakiwa katika mahakama ya juu kwa kosa la kutowajibika

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa Argentina ashtakiwa

Makamu wa rais nchini Argentina Amado Boudou ameshtakiwa kwa mashtaka ya ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani Chad,ashtakiwa Senegal

Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre, atafikishwa mahakamani Senegal, kwa makosa ya ukatili na uhalifu wa kivita .

 

10 years ago

GPL

WEMA ASHTAKIWA KWA KOVA

Waandishi wetu
KIMENUKA! Mtangazaji na MC (master of ceremony) maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ameivalia njuga tabia ya mastaa kuhusika na matusi ya mtandaoni na kupiga picha za utupu ambapo kwa kuanza amemshitaki mwanadada Wema Isaac Sepetu kwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akimtuhumu kuwa kati yao. Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu. Akizungumza na Ijumaa katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Diendere ashtakiwa kwa mauaji ya Sankara

Kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso, Gilbert Diendere ameshtakiwa kwa mauaji ya rais wa zamani wa nchi hiyo Thomas Sankara

 

11 years ago

BBCSwahili

Ashtakiwa kwa kuvizia siri za Marekani

Mamlaka nchini Marekani imemshtaki mfanyibiashara wa Uchina kwa kudukua mifumo ya kompyuta ili kuiba habari za miradi ya kijeshi.

 

9 years ago

Mtanzania

Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi

Taylor_SwiftNEW YORK, MAREKANI

MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.

Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.

Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Muhubiri ashtakiwa kwa kusababisha kifo

Muhubiri mwenye utata James Ng'ang'a ameshtakiwa kwa kusababisha kifo kupitia uendeshaji wa gari vibaya.

 

10 years ago

Habarileo

Ashtakiwa kwa kunajisi mtoto wa miaka 4

MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani