Cosby ashtakiwa kwa dhuluma za kimapenzi
Mwigizaji na mchekeshaji mkongwe wa Marekani Bill Cosby ameshitakiwa kwa kumdhulumu kimapenzi mwanamke anayedai kuwa alibakwa na mwigizaji huyo alipokuwa na umri wa miaka 15.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Bill Cosby ashtakiwa dhulma ya kimapenzi
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
7 wakamatwa kwa dhuluma za ngono Misri
11 years ago
Habarileo16 May
Dhuluma kwa wakulima yamsikitisha Kinana
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesikitishwa na taarifa ya wakulima wa tumbaku kuhusu dhuluma wanayofanyiwa na vyama vya ushirika na wanunuzi wa tumbaku yao kila msimu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k45rinVt33u2FJKNVhoBJMSUnljWuX-J06oyX2CzPf4iL9o46yVuzUQy8idZRVwuL9n1AH-SQvtA-hcEv2l02v8/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
WEMA ASHTAKIWA KWA KOVA
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi
NEW YORK, MAREKANI
MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.
Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.
Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mwanablogu ashtakiwa kwa kumdharau rais
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
Ashtakiwa kwa kuvizia siri za Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCwZ761mZkxBAaiiXea7SgSyfE8CDr8TZAa8iFTo3gjq-hahaX9VM9roIvmXwfba0UuRpbZCPQ2gzBjvUSxOegEx/Love.jpg?width=650)
UMEJITATHMINI KIMAPENZI KWA MWAKA MPYA?
10 years ago
Habarileo18 Feb
Ashtakiwa kwa kunajisi mtoto wa miaka 4
MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.