Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cosby ashtakiwa kwa dhuluma za kimapenzi

Mwigizaji na mchekeshaji mkongwe wa Marekani Bill Cosby ameshitakiwa kwa kumdhulumu kimapenzi mwanamke anayedai kuwa alibakwa na mwigizaji huyo alipokuwa na umri wa miaka 15.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Bill Cosby ashtakiwa dhulma ya kimapenzi

Waendesha mashitaka katika jimbo la Pennsylvania Marekani wamemfungulia mashtaka ya kwanza mcheshi nguli Bill Cosby .

 

11 years ago

BBCSwahili

7 wakamatwa kwa dhuluma za ngono Misri

Wanaume 7 wamekamatwa baada ya kushukiwa kuwadhulumu kiongono mwanamke wakati wa sherehe za kumkabidhi mamlaka Rais Abdul Fattah al Sisi.

 

11 years ago

Habarileo

Dhuluma kwa wakulima yamsikitisha Kinana

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesikitishwa na taarifa ya wakulima wa tumbaku kuhusu dhuluma wanayofanyiwa na vyama vya ushirika na wanunuzi wa tumbaku yao kila msimu.

 

10 years ago

GPL

WEMA ASHTAKIWA KWA KOVA

Waandishi wetu
KIMENUKA! Mtangazaji na MC (master of ceremony) maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ameivalia njuga tabia ya mastaa kuhusika na matusi ya mtandaoni na kupiga picha za utupu ambapo kwa kuanza amemshitaki mwanadada Wema Isaac Sepetu kwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akimtuhumu kuwa kati yao. Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu. Akizungumza na Ijumaa katika...

 

9 years ago

Mtanzania

Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi

Taylor_SwiftNEW YORK, MAREKANI

MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.

Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.

Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu ashtakiwa kwa kumdharau rais

Mwanablogu maarufu lakini anayezusha mzozo Kenya ameshtakiwa kwa kumdharau rais,

 

11 years ago

BBCSwahili

Ashtakiwa kwa kuvizia siri za Marekani

Mamlaka nchini Marekani imemshtaki mfanyibiashara wa Uchina kwa kudukua mifumo ya kompyuta ili kuiba habari za miradi ya kijeshi.

 

10 years ago

GPL

UMEJITATHMINI KIMAPENZI KWA MWAKA MPYA?

Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuumaliza salama mwaka 2014 na kuuanza mwaka mpya wa 2015. Najua wapo wengi ambao walitamani kuuona mwaka huu lakini kwa namna moja au nyingine, wakashindwa. Karibu tena tujadili mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Njia nzuri ya kuuanza mwaka mpya, ni kupata muda wa kukaa na kutathmini nyendo zako na mambo yote yaliyotokea katika maisha yako...

 

10 years ago

Habarileo

Ashtakiwa kwa kunajisi mtoto wa miaka 4

MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani