Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI: SIASA IMENIFANYA NIFUNGE MDOMO

MSANII wa filamu Bongo, Yobunesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa ukimya wake wa kipindi hiki ni kutokana na mambo ya siasa yanayoendelea hivi sasa hivyo ameamua kufunga mdomo wake.Akizungumza na Amani, Batuli alisema kuwa ukimya wake unamsaidia sana ndiyo maana ashabikii upande wowote mpaka maamuzi yatakapotolewa ni chama gani kitatawala nchi yetu.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1TwelNv ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!

Elnest Mangu. TANZANIA tuna majeshi kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotambulika kisheria. Tunalo Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza. Chini yake, JWTZ unawakuta JKT, kwa polisi, tunao Zimamoto, FFU, Usalama barabarani (Trafiki) na Mgambo. Majeshi na vikosi hivi vina majukumu yanayofahamika na kukubalika. Kwa hiyo haishangazi tunapoona polisi wakitumika kuwakamata majambazi, ambao wakati mwingine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

GRACE TENDEGA: Hofu ya wazazi, ndugu imenifanya nithubutu

NIANZE kwa kuwapa heri ya siku yetu wanawake wenzangu, kwani tunapaswa kuifurahia sana kutokana na kwamba sisi ni watu muhimu katika familia, maana bila mama familia itateteleka. Kwa upande wangu...

 

10 years ago

GPL

MOSE IYOBO: HALI YA BEBI IMENIFANYA NISIENDE LONDON

Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye shoo iliyokuwa ikifanyika katika Jiji la London kutokana na hali ya mpenzi wake. Akichezesha taya na Centre Spread, Mose alisema kuwa  alishindwa kujumuika na wenzake akihofia hali ya mpenzi wake hivyo alipenda kuwa naye...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Kanye West: Ndoa na Kim imenifanya kuwa binadamu bora

Kanye West amedai kuwa ndoa yake na Kim Kardashian imembadilisha kwa kiasi kikubwa. Akihojiwa kwenye The Ellen Show, Kanye alidai kuwa hivi sasa amejifunza kujizuia kukaa kimya na kwamba amekuwa ‘binadamu bora’ Akijibu swali la kama yeye na Kim wanataka kupata mtoto mwingine, Kanye alidai kuwa wanajaribu na kwamba idadi ya watoto atakayo Kim ndiyo […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu

SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...

 

11 years ago

GPL

MADAHA, MDOMO ULIPONZA KICHWA

NI mara yangu ya pili kumzungumzia Baby Madaha katika safu hii. Nilimsifu kwa kadiri ninavyomfahamu, kwamba ni muimbaji mzuri na anayefanya kazi yake vizuri kabisa, hasa hivi sasa anapokuwa balozi mzuri wa nchi, kwani anafanya shughuli zake na meneja kutoka Kenya. Hapa nyumbani licha ya muziki, lakini anafanya pia filamu na huko kote amekuwa akifanya vizuri. Ingawa hajafikia kiwango cha kuweza kumlinganisha na msanii mkongwe...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari

Leo ni siku ya Saratani Duniani. Wakati tunaadhimisha siku hii hapa nchini idadi ya vijana ambao ni tegemeo la taifa inazidi kupungua kutokana kuangamia kwa saratani ikiwemo ya koo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mdomo wamponza mwanamke Pakistan

Mwanamke mmoja amehukumiwa adhabu ya kifo nchini Pakistan kwa kosa la kufuru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani