Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GRACE TENDEGA: Hofu ya wazazi, ndugu imenifanya nithubutu

NIANZE kwa kuwapa heri ya siku yetu wanawake wenzangu, kwani tunapaswa kuifurahia sana kutokana na kwamba sisi ni watu muhimu katika familia, maana bila mama familia itateteleka. Kwa upande wangu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Grace Tendega anaandika historia ya Chifu Mkwawa

SIFA moja kubwa aliyokuwa nayo Chifu wa Wahehe, Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga, ambaye alijulikana kwa jina la Chifu Mkwawa,  enzi za uhai wake ni heshima kwa wanawake. Aliwaheshimu sana wanawake, aliwajali...

 

11 years ago

GPL

HOFU YATANDA KIJANA ALIYEUA WAZAZI WAKE

Na Mwandishi Wetu, Moshi
BAADA ya wanadoa wawili, Shahidu Njau (60) na mkewe Minae Swai (57) kudaiwa kuuawa kinyama na Yusuf Njau (32),  anayeaminika kuwa ni mtoto wao, kwa  kuwacharanga kwa shoka Ijumaa iliyopita, hofu imetanda kijijini Masama Rao, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro yalipotokea mauaji hayo. Yusuf Njau anayedaiwa kuuwa wazazi wake kwa shoka Hofu hiyo imewakumba baadhi ya wazazi kijijini hapo ambao walidai...

 

10 years ago

GPL

NINI CHA KUFANYA WAZAZI, NDUGU WANAPOMCHUKIA UMPENDAYE?-2

Tuliangalia mfano wa jinsi mwanaume mmoja ambaye yupo ndani ya ndoa kwa kipindi cha miaka kumi, alivyokuwa kwenye mgogoro mkubwa baada ya mke wake wa ndoa kutokea kuwachukia na kuwadharau mno wazazi wa mwanaume kwa sababu ambazo anazijua mwenyewe. Wazazi nao wakaja juu na kumwambia achague moja, mke au wazazi na kujikuta akishindwa kuamua. Leo tunaendelea kueleza nini cha kufanya unapotokewa na hali kama iliyomkuta ndugu yetu...

 

10 years ago

GPL

NINI CHA KUFANYA WAZAZI, NDUGU WANAPOMCHUKIA UMPENDAYE?

Je, upo kwenye uhusiano wa kimapenzi, unampenda sana mume, mke, mchumba au mpenzi uliyenaye lakini wazazi au ndugu zako wanamchukia na kila siku wanampiga vita? Mada ya leo ni kwa ajili ya wewe msomaji wangu ambaye upo kwenye mazingira kama haya ya wazazi au ndugu kumkataa umpendaye kwa sababu ambazo wanazijua leo. Kwa ambao wamewahi kupitia changamoto hii au bado wapo ndani yake, watakuwa wanaelewa vizuri ugumu uliopo linapokuja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tendega afichua ufisadi wa vigogo

MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewalipua baadhi ya watendaji na viongozi wa serikali kwa kutumia vibaya ruzuku ya pembejeo za kilimo. Alisema moja ya...

 

10 years ago

GPL

BATULI: SIASA IMENIFANYA NIFUNGE MDOMO

MSANII wa filamu Bongo, Yobunesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa ukimya wake wa kipindi hiki ni kutokana na mambo ya siasa yanayoendelea hivi sasa hivyo ameamua kufunga mdomo wake.Akizungumza na Amani, Batuli alisema kuwa ukimya wake unamsaidia sana ndiyo maana ashabikii upande wowote mpaka maamuzi yatakapotolewa ni chama gani kitatawala nchi yetu.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1TwelNv ...

 

11 years ago

Mwananchi

Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga

Mgombea ubunge kupitia Chadema, Grace Tendega amesema endapo wananchi watampa ridhaa na kumchagua kuwa mbunge wa Jimbo la Kalenga, atahakikisha anaishinikiza Serikali kuunda chombo kitakachosimamia suala la pembejeo za kilimo.

 

10 years ago

GPL

MOSE IYOBO: HALI YA BEBI IMENIFANYA NISIENDE LONDON

Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye shoo iliyokuwa ikifanyika katika Jiji la London kutokana na hali ya mpenzi wake. Akichezesha taya na Centre Spread, Mose alisema kuwa  alishindwa kujumuika na wenzake akihofia hali ya mpenzi wake hivyo alipenda kuwa naye...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Kanye West: Ndoa na Kim imenifanya kuwa binadamu bora

Kanye West amedai kuwa ndoa yake na Kim Kardashian imembadilisha kwa kiasi kikubwa. Akihojiwa kwenye The Ellen Show, Kanye alidai kuwa hivi sasa amejifunza kujizuia kukaa kimya na kwamba amekuwa ‘binadamu bora’ Akijibu swali la kama yeye na Kim wanataka kupata mtoto mwingine, Kanye alidai kuwa wanajaribu na kwamba idadi ya watoto atakayo Kim ndiyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani