Grace Tendega anaandika historia ya Chifu Mkwawa
SIFA moja kubwa aliyokuwa nayo Chifu wa Wahehe, Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga, ambaye alijulikana kwa jina la Chifu Mkwawa, enzi za uhai wake ni heshima kwa wanawake. Aliwaheshimu sana wanawake, aliwajali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
GRACE TENDEGA: Hofu ya wazazi, ndugu imenifanya nithubutu
NIANZE kwa kuwapa heri ya siku yetu wanawake wenzangu, kwani tunapaswa kuifurahia sana kutokana na kwamba sisi ni watu muhimu katika familia, maana bila mama familia itateteleka. Kwa upande wangu...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Pinda kubariki kumbukizi ya Chifu Mkwawa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajia kuwaongoza wanakijiji cha Kalenga na Mkoa wa Iringa katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya aliyekuwa Chifu wa Wahehe, Mkwawa itakayofanyika kijijini hapo Julai 19....
10 years ago
MichuziKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s72-c/3%2B(1).jpg)
JK aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s1600/3%2B(1).jpg)
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mzuri, kiongozi na mtu wa watu, ambaye katika maisha...
10 years ago
MichuziMH. MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ABDU MKWAWA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Chief wa Wahehe,Mtwa Adam Mkwawa wa II wakati alipokwenda nyumbani kwa Chifu huyo, Kalenga Iringa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKSX-TpniUi4eEUKE0RNM7RF3job6RDbJAUijr3jW0s3YHrxHcEWcIKh0svIp9AZ2TIMr6Cio8xPrT38Ex*ijIm/335.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA, MKOANI IRINGA
10 years ago
Michuzi17 Feb
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA,MKOANI IRINGA
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/335.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Chifu mpya wa Wahehe, Chifu Adam Abdu Mkwawa, Mtwa Adam wa Pili (14), wakati wa mazishi ya baba yake aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam Mkwawa leo katika eneo la Nyumba ya Makumbusho ya Chifu Mkwawa, Kijiji cha Karenga Februari 16, 2015.
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/526.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/621.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mjane wa aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam Mkwawa leo Kijiji cha Karenga Februari 16, 2015.
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/812.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ooHhr5L6kk4/VOIEG_PIUzI/AAAAAAADZqk/AONBQ8_AeJU/s72-c/mk4.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ooHhr5L6kk4/VOIEG_PIUzI/AAAAAAADZqk/AONBQ8_AeJU/s1600/mk4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EVKCGRw27q4/VOIEH06xSFI/AAAAAAADZq8/niImwk9q9tg/s1600/mk5.jpg)