Tendega afichua ufisadi wa vigogo
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewalipua baadhi ya watendaji na viongozi wa serikali kwa kutumia vibaya ruzuku ya pembejeo za kilimo. Alisema moja ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania23 Aug
Mwigulu afichua ufisadi wa kutisha Hazina
![Mwigulu Nchemba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwigulu-Nchemba.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Jonas Mushi na Raphael Nolescus (TUDARCO), Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wameokoa zaidi ya Sh bilioni 40 zilizokuwa zilipwe kama mshahara wa mwezi uliopita kwa watumishi hewa 14,074 wa umma.
Pamoja na hilo, pia alisema Serikali itakuwa makini katika ulipaji wa madeni kwani tayari wamebaini kuwepo kwa madeni yasiyo sahihi ambapo katika deni la Serikali la shilingi bilioni 500 wamegundua deni sahihi ni shilingi bilioni...
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Mbowe afichua ufisadi mzito bomba la gesi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Taifa, Freeman Mbowe, amefichua tuhuma za ufisadi wa kutisha akisema kuwa gharama ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Vigogo ‘watosana’ ufisadi Escrow
KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewaweka njia panda vigogo wa Serikali...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
UFISADI BIL. 200 BoT: Vigogo waunda zengwe kukwepa
MKAKATI wa kuwanasua vigogo wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika katika kashfa nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Grace Tendega anaandika historia ya Chifu Mkwawa
SIFA moja kubwa aliyokuwa nayo Chifu wa Wahehe, Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga, ambaye alijulikana kwa jina la Chifu Mkwawa, enzi za uhai wake ni heshima kwa wanawake. Aliwaheshimu sana wanawake, aliwajali...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
GRACE TENDEGA: Hofu ya wazazi, ndugu imenifanya nithubutu
NIANZE kwa kuwapa heri ya siku yetu wanawake wenzangu, kwani tunapaswa kuifurahia sana kutokana na kwamba sisi ni watu muhimu katika familia, maana bila mama familia itateteleka. Kwa upande wangu...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-22April2015.jpg)
Aidha, imebainika pia kuwa ya...
9 years ago
Habarileo24 Dec
Pluijm afichua siri ya usajili
KOCHA wa Yanga Mholanzi Hans van der Pluijm, ameweka wazi sababu ya kuendelea kusajili kwenye dirisha dogo ni kuifanya timu hiyo iwe bora Afrika. Alisema lengo ni kuepuka kikosi chake kutegemea baadhi ya wachezaji pindi wanapokuwa katika ushindani mkubwa kama ilivyo sasa.