Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tendega afichua ufisadi wa vigogo

MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewalipua baadhi ya watendaji na viongozi wa serikali kwa kutumia vibaya ruzuku ya pembejeo za kilimo. Alisema moja ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwigulu afichua ufisadi wa kutisha Hazina

Mwigulu Nchemba

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba

Jonas Mushi na Raphael Nolescus (TUDARCO), Dar es Salaam

NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wameokoa zaidi ya Sh bilioni 40 zilizokuwa zilipwe kama mshahara wa mwezi uliopita kwa watumishi hewa 14,074 wa umma.

Pamoja na hilo, pia alisema Serikali itakuwa makini katika ulipaji wa madeni kwani tayari wamebaini kuwepo kwa madeni yasiyo sahihi ambapo katika deni la Serikali la shilingi bilioni 500 wamegundua deni sahihi ni shilingi bilioni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe afichua ufisadi mzito bomba la gesi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Taifa, Freeman Mbowe, amefichua tuhuma za ufisadi wa kutisha akisema kuwa gharama ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo ‘watosana’ ufisadi Escrow

KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewaweka njia panda vigogo wa Serikali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UFISADI BIL. 200 BoT: Vigogo waunda zengwe kukwepa

MKAKATI wa kuwanasua vigogo wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika katika kashfa nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga

Mgombea ubunge kupitia Chadema, Grace Tendega amesema endapo wananchi watampa ridhaa na kumchagua kuwa mbunge wa Jimbo la Kalenga, atahakikisha anaishinikiza Serikali kuunda chombo kitakachosimamia suala la pembejeo za kilimo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Grace Tendega anaandika historia ya Chifu Mkwawa

SIFA moja kubwa aliyokuwa nayo Chifu wa Wahehe, Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga, ambaye alijulikana kwa jina la Chifu Mkwawa,  enzi za uhai wake ni heshima kwa wanawake. Aliwaheshimu sana wanawake, aliwajali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

GRACE TENDEGA: Hofu ya wazazi, ndugu imenifanya nithubutu

NIANZE kwa kuwapa heri ya siku yetu wanawake wenzangu, kwani tunapaswa kuifurahia sana kutokana na kwamba sisi ni watu muhimu katika familia, maana bila mama familia itateteleka. Kwa upande wangu...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm afichua siri ya usajili

KOCHA wa Yanga Mholanzi Hans van der Pluijm, ameweka wazi sababu ya kuendelea kusajili kwenye dirisha dogo ni kuifanya timu hiyo iwe bora Afrika. Alisema lengo ni kuepuka kikosi chake kutegemea baadhi ya wachezaji pindi wanapokuwa katika ushindani mkubwa kama ilivyo sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani