Mbowe afichua ufisadi mzito bomba la gesi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Taifa, Freeman Mbowe, amefichua tuhuma za ufisadi wa kutisha akisema kuwa gharama ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Mbowe: Vigogo CCM wamechota Sh1.2 mradi bomba la gesi
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Tendega afichua ufisadi wa vigogo
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewalipua baadhi ya watendaji na viongozi wa serikali kwa kutumia vibaya ruzuku ya pembejeo za kilimo. Alisema moja ya...
10 years ago
Mtanzania23 Aug
Mwigulu afichua ufisadi wa kutisha Hazina
![Mwigulu Nchemba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwigulu-Nchemba.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Jonas Mushi na Raphael Nolescus (TUDARCO), Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wameokoa zaidi ya Sh bilioni 40 zilizokuwa zilipwe kama mshahara wa mwezi uliopita kwa watumishi hewa 14,074 wa umma.
Pamoja na hilo, pia alisema Serikali itakuwa makini katika ulipaji wa madeni kwani tayari wamebaini kuwepo kwa madeni yasiyo sahihi ambapo katika deni la Serikali la shilingi bilioni 500 wamegundua deni sahihi ni shilingi bilioni...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Mnyika amkumbusha Magufuli ufisadi DART, bomba la Mchina
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kibamba, John Mnyika amemuomba Rais Dk.John Magufuli kuingilia kati mradi wa maji wa Ruvu Chini maarufu ‘Bomba la Mchina’ pamoja na wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) kuwa ni majipu sugu yanayotafuna fedha za walipa kodi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mnyika alisema siku 32 za Rais Magufuli kukaa Ikulu ametumbua vipele na si majipu kama inavyoelezwa.
Alisema tatizo la maji nchini ni kubwa ambako awali kulikuwa na nyumba inazuia mradi wa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-5tbpNygWsAk/Vmd0Ob7u_fI/AAAAAAAAXX8/zZf-1orAXeI/s72-c/John-01July2015.jpg)
Mnyika amkumbusha Magufuli ufisadi DART, bomba la Mchina
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EKhpNfTXroA/UzQgyNDJnVI/AAAAAAAFWxU/EbOlvcB3nF8/s72-c/unnamed+(31).jpg)
UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
‘Waliopitiwa na bomba la gesi wanufaike pia ’