WADAU WA USAFIRISHAJI WAIOMBA SERIKALI KUSIMAMISHA ONGEZEKO LA TOZO BANDARINI
Rais wa Chama cha Wasafirishaji Tanzania (TAT), Zacharia Hans Pope (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu changamoto ya sheria ya ongezeko la thamani VAT katika mizigo inayosafirishwa kwenda nje ya nchi. Kulia ni Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa TAT, Omar Kiponza.
Makamu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wadau waipinga TFF kusimamisha tiketi za kielektroniki
9 years ago
MichuziSCANIA BUS EXPO YAKUTANISHA WADAU WA USAFIRISHAJI
Akizungumza na waandishi wa habari katika maonyesho hayo, Meneja usafirishaji wa kampuni ya Scania, Godwin Rwegasira, alisema “Scania tumejikita thabiti kabisa katika sekta ya usafirishaji,...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Serikali yatakiwa kusimamisha malipo
9 years ago
Habarileo18 Dec
Walemavu waiomba Serikali iwakumbuke
SHIRIKISHO la Watu Wenye Ulemavu Mkoa wa Dodoma (SHIVYAWATA) wameitaka Serikali ihakikishe maisha ya watu wenye ulemavu yanakuwa bora kwa kuwapatia huduma bora za kijamii zikiwemo afya, elimu na ulinzi. Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu wa Shirikisho hilo, Justin Ng’wantalima kwenye ufunguzi wa kongamano la maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu mkoa wa Dodoma.
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Serikali nayo kuongeza tozo Uwanja wa Taifa
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Serikali ifute tozo hizi mpya Muhimbili
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Watalii waiomba Serikali kuboresha usafiri wa anga
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/117.jpg)
WASANII WAIOMBA SERIKALI KUUMALIZIA UKUMBI WA BASATA
9 years ago
StarTV02 Oct
Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi
Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.
Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.
Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...