Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ifute tozo hizi mpya Muhimbili

Jiji la Dar es Salaam na miji mingine nchini imeanzisha utaratibu wa kutoza fedha kwa ajili ya maegesho ya magari sehemu za katikati ya miji. Utaratibu huu, kwa kiasi fulani unasaidia kupunguza wingi wa magari yanayoingia mjini kwa sababu zisizo na msingi na hivyo kufanya kwa kiasi fulani kuwe na ahueni ya maegesho kwa magari muhimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sikika wapongeza kusitishwa tozo Muhimbili

SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Sikika limepongeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kusitisha kutumika kwa viwango vipya vya gharama za matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU

Na Magreth Kinabo –MAELEZO.
Serikali imenunua mashine  mpya ya CT-Scan yenye thamani ya  takriban dola  za Marekani milioni 1.7  yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali  katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali nayo kuongeza tozo Uwanja wa Taifa

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na klabu za Ligi Kuu zikivutana kuhusu makato ya wadhamini ya asilimia tano, Serikali ipo kwenye mchakato wa kuhakikisha inavuna pesa zaidi kupitia Uwanja wa Taifa.

 

9 years ago

Vijimambo

WADAU WA USAFIRISHAJI WAIOMBA SERIKALI KUSIMAMISHA ONGEZEKO LA TOZO BANDARINI

 Rais wa Chama cha Wasafirishaji Tanzania (TAT), Zacharia Hans Pope (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu  changamoto ya sheria ya ongezeko la thamani VAT katika mizigo inayosafirishwa kwenda nje ya nchi. Kulia ni Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa TAT, Omar Kiponza. Makamu...

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye ataka gesi ifute umasikini

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick SumayeALIYEKUWA Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, amesema Watanzania na wananchi wa mataifa ambako kumegundulika gesi na mafuta, wanapaswa kufahamu hatma ya kuondoa umasikini wa nchi yao, iko mikononi mwao.

 

9 years ago

Mwananchi

Muhimbili yapata CT Scan mpya

Serikali imeanza kufunga mashine mpya ya vipimo ya CT Scan kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la upungufu wa vifaa tiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali ondoe dosari hizi

UCHAGUZI wa Serikali za Mtaa kwa upande wa Tanzania Bara unatarajiwe kufanyika Disemba 14 mwaka huu. Kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi huu, yalikuwapo maneno mengi kutoka katika makundi mbalimbali...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe apanda kizimbani Himo, aiomba Mahakama ifute kesi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ameiomba mahakama kutupilia mbali kesi inayomkabili kwakuwa ni kesi  iliyotengenezwa  kutokana na chuki za kisiasa na jazba za kushindwa katika uchaguzi mkuu uliopita wa mwaka 2010.

 

10 years ago

Mtanzania

Kwa hesabu hizi, Katiba Mpya shakani

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

RASIMU ya Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba ipo shakani kuweza kupitishwa bungeni, MTANZANIA limebaini.

Kutokana na sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013, ili Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iweze kupitishwa, inahitajika kuungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe wa Bunge Maalumu kutoka kila upande wa Muungano.

Idadi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani