Serikali ondoe dosari hizi
UCHAGUZI wa Serikali za Mtaa kwa upande wa Tanzania Bara unatarajiwe kufanyika Disemba 14 mwaka huu. Kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi huu, yalikuwapo maneno mengi kutoka katika makundi mbalimbali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Dec
DOSARI SERIKALI ZA MITAA
Wakurugenzi sita wafukuzwa kazi
Wabainika kuzembea na kuvuruga uchaguziGhasia: Serikali ilitimiza wajibu wake, sijiuzuluCHADEMA yazidi kuweweseka na matokeo
WALIOTIMULIWA KAZI
Benjamin Majoya- Mkuranga
Abdalla Ngodu- Kaliua
Masalu Mayaya- Kasulu
Goody Pamba- Serengeti
Juliua Madiga -Sengerema
Simon Mayeye- Bunda
WALIOSIMAMISHWA KAZI
Felix Mabula- Hanang
Fortunatus Fwema- Mbulu
Isabella Chilumba- Ulanga
Pendo Malabeja- Kwimba
William Shimwela- Sumbawanga
WALIOPEWA ONYO
Mohamed Maje- Rombo
Hamis Yuna...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Serikali ifute tozo hizi mpya Muhimbili
10 years ago
Mwananchi27 Dec
MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Uchaguzi TBF waingia dosari
WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Uandikishaji Mabibo waingia dosari
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR), katika eneo la Mabibo, Dar es Salaam umeingia dosari baada ya waandikishaji kugoma kuendelea kuandikisha kutokana na kutolipwa stahiki zao kwa wakati.
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jeraha lamtia dosari Azarenka
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Stewart agundua dosari Azam
NA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.
Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Mkutano wa Msigwa, bodaboda waingia dosari