SCANIA BUS EXPO YAKUTANISHA WADAU WA USAFIRISHAJI
Kampuni ya Scania Tanzania, imefanya maonyesho ya miundo tofauti ya mabasi yake yanayoundwa na makampuni mbalimbali ya kuunda mabasi nchini na nchi jirani. Maonyesho hayo yaliyofahamika kama “SCANIA BUS EXPO 2014” yalikutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya usafirishaji hasa usafirishaji wa abiria.
Akizungumza na waandishi wa habari katika maonyesho hayo, Meneja usafirishaji wa kampuni ya Scania, Godwin Rwegasira, alisema “Scania tumejikita thabiti kabisa katika sekta ya usafirishaji,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-97x_7MKyM_k/VI3j_2vTMgI/AAAAAAAG3NE/YUuAU1kg5cE/s72-c/unnamed..jpg)
Scania yakutanisha wadau wa mabasi ya Abiria
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uHCJLWOMJY4/VRbH3djrr0I/AAAAAAAArN8/Pve9PJfuHdY/s72-c/DSC_0014.jpg)
JAMESON YAKUTANISHA WADAU WAKE
Bwana Aseka, ambaye amepewa mafunzo maalum kutoka kwa wataalam wa kinywaji cha Jameson Irish Whiskey nchini Ireland na mwenye miaka mingi kuwa Balozi wa kinywaji hich alisema, “Jameson inaongoza duniani kwa mauzo katika...
11 years ago
Michuzi06 Apr
TBC YAKUTANISHA WADAU WA MUZIKI WA DANSI
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
ActionAid yakutanisha wadau kujadili malengo mapya ya milenia
![Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0478.jpg)
Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.
Wakili wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Honestus Michael Kulaya (mbele) akiwasilisha mada katika semina iliyoandaliwa na taasisi ya Landesa.
![Mwakilishi wa taasisi ya Landesa na ActionAid akizungumza kufungua semina ya wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia 'Post 2015 Sustainable Development Agenda'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0465.jpg)
Mwakilishi wa taasisi ya Landesa na ActionAid akizungumza kufungua semina ya wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
UNFPA yakutanisha wadau wa kupinga ukatili na ‘Amani Nyumbani Forum’
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sihaba Nkinga ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kongamano la kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na wasichana akizungumza kabla ya kuzinduwa rasmi kongamano.
Mwakilishi wa Shirika la Mpango wa idadi ya watu (UNFPA), Dk. Natalia Kanem akizungumza kwenye kongamano la kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na wasichana wakiimba wimbo wa taifa kabla ya kuzinduliwa kwa kongamano hilo katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s72-c/1c.jpg)
TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika
![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s640/1c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOafxS7oyMQ/VVRqnKy9ggI/AAAAAAAHXPc/431dQXQdqC8/s640/2.jpg)
9 years ago
VijimamboWADAU WA USAFIRISHAJI WAIOMBA SERIKALI KUSIMAMISHA ONGEZEKO LA TOZO BANDARINI
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA