Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu
ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Oct
Ukusanyaji takwimu Afrika yatakiwa kuzalisha wataalamu wake
Wataalamu wa Takwimu katika nchi za Afrika wametakiwa kutumia utaalamu walionao kuzalisha wataalam vijana watakaoleta mabadiliko kwa kutumia teknolojia mpya ya sayansi.
Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Albina Chuwa amesema nchi za Afrika zikikosa wataalamu wa ndani wataalam kutoka nje watachukua nafasi ya kukusanya takwimu bila kuzingatia hali halisi ya Afrika.
Mkurugenzi wa Takwimu, Albina Chuwa anasema njia zinazotumika kwa sasa katika kufanya tafiti za takwimu zinatumia bilioni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-55-768x512.jpg)
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA UKUSANYAJI TAKWIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s640/1-55-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-37-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Amina Msengwa, wakipokea hati ya kiwanja eneo ambalo Ofisi ya NBS Mkoa wa Kigoma kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Rashid Mchata,...
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Ukusanyaji wa takwimu za HIV wapingwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HPvVqd-8KI/U_cu9-8z2jI/AAAAAAAGBXg/-Z_9Yo_MofU/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
RITA na NBS kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA,Bw. Phillip Saliboko alisema Tathimini hiyo itafanyika kikanda kwa siku 15 kuanzia tarehe Septemba 15 - 30, 2014 na kujumuisha wadau wakubwa wa mambo ya usajili kutoka kwenye baadhi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uhX8ASzOPGw/Vd03AIwfKTI/AAAAAAAH0E4/npviTqtYHNI/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-uhX8ASzOPGw/Vd03AIwfKTI/AAAAAAAH0E4/npviTqtYHNI/s640/Picha%2Bna%2B1.jpg)
Afisa Mwandamizi anayeshughulikia Sera na maendeleo ya kilimo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Bill na Melinda Gates Bw. Stanley Wood akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha mazungumzo na viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) nchini Tanzania kuangalia uwezekano wa taasisi hiyo kusaidia miradi ya ukusanyaji wa Takwimu za kilimo nchini Tanzania.Kushoto kwake ni Mratibu wa miradi wa Taasisi hiyo Bi.Bhramar Dey.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1BuDdVAkRwk/Vd03ArxzbeI/AAAAAAAH0FQ/3DP3AlI46zE/s640/Picha%2Bna%2B2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOdz6tejFMDLqY105we8BGVOYJ32nyLFtE4mbJYmdICYnJsaF4kQsv5SEUl3kSz1ylsrUSqTPNffZlJ5Fr8Y3dfz/Pichana1.jpg)
TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam
SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-coo8fizGrms/VHc5uFEMqvI/AAAAAAAGzz0/QEwvexxv_gU/s1600/Takwimu-%2B2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NBDEX_QDOBM/VHcbf0BxbxI/AAAAAAACTgU/_YUzxBQmKPg/s640/Takwimu%2B-3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yL0rTbWDqLc/VHcbcCgXeXI/AAAAAAACTgM/lo5nyLcx3cg/s640/Takwimu-%2B2.jpg)