Ukusanyaji takwimu Afrika yatakiwa kuzalisha wataalamu wake
Wataalamu wa Takwimu katika nchi za Afrika wametakiwa kutumia utaalamu walionao kuzalisha wataalam vijana watakaoleta mabadiliko kwa kutumia teknolojia mpya ya sayansi.
Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Albina Chuwa amesema nchi za Afrika zikikosa wataalamu wa ndani wataalam kutoka nje watachukua nafasi ya kukusanya takwimu bila kuzingatia hali halisi ya Afrika.
Mkurugenzi wa Takwimu, Albina Chuwa anasema njia zinazotumika kwa sasa katika kufanya tafiti za takwimu zinatumia bilioni...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Jan
Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu
ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Ukusanyaji wa takwimu za HIV wapingwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-55-768x512.jpg)
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA UKUSANYAJI TAKWIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s640/1-55-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-37-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Amina Msengwa, wakipokea hati ya kiwanja eneo ambalo Ofisi ya NBS Mkoa wa Kigoma kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Rashid Mchata,...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri ahimiza vyuo kuzalisha wataalamu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4R5Mrg_og0I/VHXTLVhvnQI/AAAAAAACvX4/fNBj_Av4mEI/s72-c/PICHA%2BNAMBA%2B2%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU KUADHIMISHA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4R5Mrg_og0I/VHXTLVhvnQI/AAAAAAACvX4/fNBj_Av4mEI/s1600/PICHA%2BNAMBA%2B2%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONRbw53B-FY/VHXTMnEPgSI/AAAAAAACvYE/4BuOahB_1F8/s1600/PICHA%2BNO.%2B1%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_e9jt6c8NE/VjdjUHxaRQI/AAAAAAAID8E/B3eB_EZk5mY/s72-c/PICHA%2BNO.%2B2.jpg)
WATAALAM WA TAKWIMU KUTOKA OFISI ZA TAKWIMU BARANI AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_e9jt6c8NE/VjdjUHxaRQI/AAAAAAAID8E/B3eB_EZk5mY/s640/PICHA%2BNO.%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O3KO5G8XV8A/VjdjWmUhzeI/AAAAAAAID8M/pDbn2X035N4/s640/PICHA%2BNO.%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bWudHk9pUZY/Vnb8lFxU81I/AAAAAAAINkE/WiXfi-iFmLg/s72-c/42db3dcd-f903-491e-9bf7-7067d77246f9.jpg)
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA CHAFANYA MAHAFALI YA KWANZA YA SHAHADA YA TAKWIMU RASMI
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam
SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s72-c/EASTC%2B7.jpg)
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s1600/EASTC%2B7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IoEQ5edr-Yw/VQhNGNj0rFI/AAAAAAAHLEM/p8_GDc4VALs/s1600/EASTC%2B5.jpg)